Houses/Apartments for sale

TZS 170,000,000
Nyumba Zinauzwa
1 year
Tanzania
Dodoma
Dodoma
1115 Dodoma
675 views
SKU: 7986
Published 1 year ago by Emmanuel John Mosha
TZS 170,000,000
In Nyumba Zinauzwa category
1115 Dodoma, Dodoma, Dodoma, Tanzania
Get directions →
675 item views
NYUMBA 4 KWENYE KIWANJA CHA 2600sqm, ZINAUZWA MICHESE DODOMA.

zipo kilomita 8 kutoka mjini. Zipo jirani na reli ya SGR.

Nyumba mbili zilizokamilika Zina muundo wa vyumba viwili vyote master sebule dinning na jiko.

zingine mbili bado zinahitaji finishing. Moja ujenzi umefikia kwenye linta Ina vyumba vitatu vyote master, sebule, dinning na jiko.

Nyingine ni servant quarter Ina chumba master na sebule na chumba master .

Kiwanja kina ukubwa wa 2600sqm (zaidi ya nusu ekari).

Kuna mandhari nzuri mno ya kuvutia: miembe, michungwa, migomba na garden nzuri ya maua.

Maji ni ya uhakika, kisima kirefu na reserve tanks.

Maelezo zaidi na kwenda kuona site.

0769619980. Read more

Specs

Property Size Sq Ft 2600
Bedrooms 4-Bedrooms
Bathroom 2-Bathrooms

Description

NYUMBA 4 KWENYE KIWANJA CHA 2600sqm, ZINAUZWA MICHESE DODOMA.

zipo kilomita 8 kutoka mjini. Zipo jirani na reli ya SGR.

Nyumba mbili zilizokamilika Zina muundo wa vyumba viwili vyote master sebule dinning na jiko.

zingine mbili bado zinahitaji finishing. Moja ujenzi umefikia kwenye linta Ina vyumba vitatu vyote master, sebule, dinning na jiko.

Nyingine ni servant quarter Ina chumba master na sebule na chumba master .

Kiwanja kina ukubwa wa 2600sqm (zaidi ya nusu ekari).

Kuna mandhari nzuri mno ya kuvutia: miembe, michungwa, migomba na garden nzuri ya maua.

Maji ni ya uhakika, kisima kirefu na reserve tanks.

Maelezo zaidi na kwenda kuona site.

0769619980.

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

Juliana Juliana 1 year
Kitchen Sink with Tap
TZS 65,000
Kitchen Sink with Tap
Dar es Salaam
Used sink in good condition, no damage.
Vifaa Nyumbani na Fanicha Masaki
TZS 65,000
Joshua Kachala Joshua Kachala 2 years
HOUSE FOR RENT GOBA CENTER
TZS 1,000,000
HOUSE FOR RENT GOBA CENTER
Dar es Salaam
#VYUMBA_VITANO _VYA_KULALA# INAPANGISHWA ##STAND_ALONE# IKO-DAR-ES-SALAAM Tz MAHALI- GOBA CENTER ——————————————————— KODI MILLION 1,000,000 /=KWA MWEZI ________________ MALIPO YA MIEZI 6 ————- IKO PEKEE YAKE KWENYE FENSI _________________ KUBWA YA KIFAMILIA ______ YENYE:- Vyumba Vitano vya kulala #Master #Sebule kubwa # Dinning Jiko, Stoo#Choo/#Bafu vya ndan...
Nyumba za Kupanga Goba - Goba Center
TZS 1,000,000
Ramani Kali Visual Lab Pro Ramani Kali Visual Lab 2 years
NYUMBA INAUZWA
TZS 40,000,000
NYUMBA INAUZWA
Arusha
~Nyumba ipo East africa, jirani na kituo cha daladala Intel ~ukubwa wa eneo ni 14x20 ~nyumba ina vyumba 3, kimoja ni masterbedroom,sebule kubwa, dining, jiko, stoo na choo cha ndani (public toilet) ~Umeme upo na miundombinu ya maji ipo ~BEI 40,000,000 maongezi yapo. call & whatsapp +25567828201
Nyumba Zinauzwa East Africa Road, Near Intel Bus Stand
TZS 40,000,000
Are you a professional seller? Create an account