-shamba ni la kwanza kutoka ziwani
-panafaa kwa makazi, kilimo, ufugaji n.k
-shamba lipo km 2 kutoka daraja la JPM lilipo
-umeme, maji na barabara vyote vipo
Bei Milioni 25
Read more
Description
-shamba ni la kwanza kutoka ziwani
-panafaa kwa makazi, kilimo, ufugaji n.k
-shamba lipo km 2 kutoka daraja la JPM lilipo
-umeme, maji na barabara vyote vipo
Bei Milioni 25
Shamba linauzwa lipo kijiji cha bago kata ya kiwangwa halimashauli ya chalinze wilaya ya bagamoyo linaukubwa wa heka 100 linafa kulima mazao ya aina yoyote au kufuga kisasa umbali kutoka lami kilometa 9 barabara safi mpaka shamba mawasiliano no 0714121506 whatsapp ipo bei sh laki tano kwa heka moja kalibuni sana kiwangwa yenye neema kuona bule asanteni sana
Ninauza kiwanja changu Kibaha Visiga-Madafu Ukubwa Square meter 400 Umbali kutoka barabara kuu km 3.5 Usafiri pikipiki 1500 panafikika kwa aina zote za usafiri Umeme wa TANESCO na Maji ya DAWASA pamoja na huduma nyingine za kijamii zinapatikana. Kiwanja kipo sehemu Tambarale na nzuri Bei ni milioni 8.5 |Maelewano yapo kidogo Piga 0745666061 |Mimi ndio Mmilik...
Kwa wateja serious only ,tufanye Biashara Kiwanja kina nyumba kumbwa na chumba kimoja cha ziada kwa nje, Kipo :- msongola, ilala Bei :- 25 million Ukubwa :- 318 square mita
Kiwanja kikubwa square meter 2745 kipo Geza kigamboni kina hati na huduma zote muhimu kama maji umeme na miundo mbinu ya barabara ipo tayari vizuri bei ni maelewano.
*🟢 SHAMBA LINAUZWA – KIWANGWA, BAGAMOYO 🟢* Fursa ya kumiliki ardhi yako! ✅ Ukubwa: Heka 10 ✅ Umbali: Km 4 kutoka barabara ya lami ✅ Mahali: Kiwangwa – Bagamoyo ✅ Mazingira tulivu, yanafaa kwa kilimo, ufugaji au makazi ✅ Umeme na maji karibu 💰 Bei: TSh 900,000 kwa heka (maelewano yapo) 📞 *Wasiliana na Mr. Chilo – 0714 121 506* *Miliki shamba lako leo – usipit...
Land for sale, Mashamba yanauzwa zaidi ya ekari 2000. Yanauzwa kunzia ekari 500 Yanapatikana Njombe Mfiriga. Yanafaa kwa kulimo cha parachichi, Nanasi, miti, maharage, mahindi na mazao mengine pia pori zuri kwa ufugaji nyuki.
Discover a rare opportunity to own 5 acres of prime investment land located in the highly desirable Ngaramtoni–Arusha area. This property is ideal for tourism, hospitality, or commercial development, offering unmatched natural beauty and strategic accessibility
Kiwanja kinauzwa Karanga, Moshi, Kilimandjaro. mita za mraba 617. Imechunguzwa kikamilifu. Ugavi wa Maji na Ugavi wa Umeme umefungwa kwa kiwanja. Mahali tulivu sana. Dakika 5 kutoka Moshi center. Ikiwa una nia, utakuwa ukinunua kiwanja moja kwa moja kutoka kwa mmiliki. Kwa maelezo zaidi, tafadhali wasiliana nami kupitia nambari 0716848756 / 0756340506, asant...