Eneo la biashara linauzwa wilaya ya Kigamboni, Dar es Salaam

TZS 10,000,000
Viwanja
1 year
Tanzania
Dar es Salaam
Kigamboni
Kimbiji,Kwa Morisi
416 views
SKU: 7668
Published 1 year ago by jeremiah muguju
TZS 10,000,000
In Viwanja category
Kimbiji,Kwa Morisi, Kigamboni, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
416 item views
Eneo linatazamana na barabara kuu iendayo Buyuni na barabara ya mtaa iendayo ufukweni (beach) jirani.

Eneo linaendelea kuchangamka kwa ujenzi na uwekezaji kama ujenzi wa makazi, viwanda, yadi, kiwanda cha saruji(sementi), mahoteli, fukwe,vituo vya mafuta,viwanda vya matofali,n.k.

Eneo lipo km30 kutoka feri, Kigamboni, Kitongoji cha kwa Morisi, njiapanda beach mpakani na kata ya Kimbiji.

Eneo lina ukubwa wa mita 20*20.Umeme upo jirani (nguzo moja).Maji yana patikana bila shida.

Eneo linafaa sana kwa uwekezaji wa sasa ama baadaye kwani lipo mahali bora sana kibiashara.
Eneo ni bora kabisa kwa:

Duka la vifaa vya ujenzi, super market ndogo, hoteli, mgahawa, baa, fremu za maduka, duka la nafaka, mashine ya kusaga, car wash, gereji, duka la spea, minara ya simu, hospitali, kiwanda cha kuteneneza matofali, n.k.

Bei ni shilingi milioni 10. Mazunguzo yapo kwa muhitaji.

Mawasiliano(mmiliki): 0685381338 Read more

Description

Eneo linatazamana na barabara kuu iendayo Buyuni na barabara ya mtaa iendayo ufukweni (beach) jirani.

Eneo linaendelea kuchangamka kwa ujenzi na uwekezaji kama ujenzi wa makazi, viwanda, yadi, kiwanda cha saruji(sementi), mahoteli, fukwe,vituo vya mafuta,viwanda vya matofali,n.k.

Eneo lipo km30 kutoka feri, Kigamboni, Kitongoji cha kwa Morisi, njiapanda beach mpakani na kata ya Kimbiji.

Eneo lina ukubwa wa mita 20*20.Umeme upo jirani (nguzo moja).Maji yana patikana bila shida.

Eneo linafaa sana kwa uwekezaji wa sasa ama baadaye kwani lipo mahali bora sana kibiashara.
Eneo ni bora kabisa kwa:

Duka la vifaa vya ujenzi, super market ndogo, hoteli, mgahawa, baa, fremu za maduka, duka la nafaka, mashine ya kusaga, car wash, gereji, duka la spea, minara ya simu, hospitali, kiwanda cha kuteneneza matofali, n.k.

Bei ni shilingi milioni 10. Mazunguzo yapo kwa muhitaji.

Mawasiliano(mmiliki): 0685381338

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

Wagwanta Sina Wagwanta Sina 5 months
Gari Mwanza Mwanza 5 months
Subaru impreza
TZS 14,500,000
Subaru impreza
Mwanza
Subaru *IMPREZA* (EDA) ???????? ✓ Price: 14.5M ✓ Cc: 1490 ✓ Year: 2008 ✓ Kilometers: 105530Km ✓ Clean and smart ✓ Full Ac ✓ Car Tv ✓ Sport rims ✓ Colour: Grey ✓ Doors: 5 ✓ Seat Capacity: 5 ✓ Fuel usage: Petrol ✓ Transmission: Auto
Used Exchange Allowed Gari Kirumba
TZS 14,500,000
Baba P Kimaro Baba P Kimaro 1 month
Mapazia ya Designer
TZS 12,000
Mapazia ya Designer
Dar es Salaam
Tunatuma mikoa yote bara na Zanzibar
Vifaa Nyumbani na Fanicha Sikukuu Street
TZS 12,000
Ivan Minja Ivan Minja 1 year
Coconut farm for sale in Arusha Mafia Island
TZS 60,000,000
Coconut farm for sale in Arusha Mafia Island
Pwani
Minja real estate & Car Broker introduce a Coconut Shamba for sale. Coconut Shamba located in Arusha Mafia Island. The Farm has 415 coconut trees. If you can clean well the shamba can produce each coconut tree 50 coconut fruits. Marketing of coconut fruit goes up down but current is 500 TZS when you sell at farm but in town not less than 1000 TZS. Coconu...
Viwanja Arusha Mafia
TZS 60,000,000
Kyalo Mbatha Kyalo Mbatha 6 months
Land for sale near Dar es Salaam
TZS 2,500,000
Land for sale near Dar es Salaam
Pwani
12 acres in Kisarawe abt 40 km from Dar es salaam. Area has tap water and electricity. Land is good for agriculture. Water is available for irrigation throughout the year. Asking price 2.5m per acre.
Viwanja Kola
TZS 2,500,000
Colen Jamal Colen Jamal 2 years
TOYOTA HARRIER2005 AVAILABLE FOR OFFER
TZS 33,000,000
TOYOTA HARRIER2005 AVAILABLE FOR OFFER
Dar es Salaam
Clean unit in a very good condition plzz text me or give me a call i will clear your doubts
Gari 120 - Shauli Na Moyo Street
TZS 33,000,000
Are you a professional seller? Create an account