Eneo la biashara linauzwa wilaya ya Kigamboni, Dar es Salaam

TZS 10,000,000
Viwanja
11 months
Tanzania
Dar es Salaam
Kigamboni
Kimbiji,Kwa Morisi
335 views
SKU: 7668
Published 11 months ago by jeremiah muguju
TZS 10,000,000
In Viwanja category
Kimbiji,Kwa Morisi, Kigamboni, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
335 item views
Eneo linatazamana na barabara kuu iendayo Buyuni na barabara ya mtaa iendayo ufukweni (beach) jirani.

Eneo linaendelea kuchangamka kwa ujenzi na uwekezaji kama ujenzi wa makazi, viwanda, yadi, kiwanda cha saruji(sementi), mahoteli, fukwe,vituo vya mafuta,viwanda vya matofali,n.k.

Eneo lipo km30 kutoka feri, Kigamboni, Kitongoji cha kwa Morisi, njiapanda beach mpakani na kata ya Kimbiji.

Eneo lina ukubwa wa mita 20*20.Umeme upo jirani (nguzo moja).Maji yana patikana bila shida.

Eneo linafaa sana kwa uwekezaji wa sasa ama baadaye kwani lipo mahali bora sana kibiashara.
Eneo ni bora kabisa kwa:

Duka la vifaa vya ujenzi, super market ndogo, hoteli, mgahawa, baa, fremu za maduka, duka la nafaka, mashine ya kusaga, car wash, gereji, duka la spea, minara ya simu, hospitali, kiwanda cha kuteneneza matofali, n.k.

Bei ni shilingi milioni 10. Mazunguzo yapo kwa muhitaji.

Mawasiliano(mmiliki): 0685381338 Read more

Description

Eneo linatazamana na barabara kuu iendayo Buyuni na barabara ya mtaa iendayo ufukweni (beach) jirani.

Eneo linaendelea kuchangamka kwa ujenzi na uwekezaji kama ujenzi wa makazi, viwanda, yadi, kiwanda cha saruji(sementi), mahoteli, fukwe,vituo vya mafuta,viwanda vya matofali,n.k.

Eneo lipo km30 kutoka feri, Kigamboni, Kitongoji cha kwa Morisi, njiapanda beach mpakani na kata ya Kimbiji.

Eneo lina ukubwa wa mita 20*20.Umeme upo jirani (nguzo moja).Maji yana patikana bila shida.

Eneo linafaa sana kwa uwekezaji wa sasa ama baadaye kwani lipo mahali bora sana kibiashara.
Eneo ni bora kabisa kwa:

Duka la vifaa vya ujenzi, super market ndogo, hoteli, mgahawa, baa, fremu za maduka, duka la nafaka, mashine ya kusaga, car wash, gereji, duka la spea, minara ya simu, hospitali, kiwanda cha kuteneneza matofali, n.k.

Bei ni shilingi milioni 10. Mazunguzo yapo kwa muhitaji.

Mawasiliano(mmiliki): 0685381338

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

Ivan Minja Ivan Minja 1 year
House for rent Salasala in dar es salaam
TZS 900,000
House for rent Salasala in dar es salaam
Dar es Salaam
Minja real estate & Car broker introduce:- House for rent in Salasala. 3 bedrooms-all self contained. Kitchen, sitting room. Public toilet and Dinning. Price 900,000 per month. Call/whats app Ivan the Don for more info.
Nyumba za Kupanga Salasala
TZS 900,000
Are you a professional seller? Create an account