16 Products For Sale in Bagamoyo
Nunua bidhaa mpya na zilizotumika kwa bei nafuu, kama unatafuta gari, nyumba, smartphone, kompyuta, TV au bidhaa nyingine yoyote utaipata hapa Zoom Tanzania kwa bei nafuu.
There was problem loading your listings, please try to refresh this page
Refresh
Lisa Swai
Friday 19:29
Kiwanja cha Ufukweni cha 4,000 Square Metre Kinauzwa Kaole Bagamoyo
TZS 150,000,000
Kiwanja cha Ufukweni cha 4,000 Square Metre Kinauzwa Kaole Bagamoyo
Pwani
Beach Plot for Sale. Location - Kaole Beach Bagamoyo, 4,000 Square Metre, Price - 150,000,000 TZS(Negotiable)
TZS 150,000,000
MR CHILO
Thursday 14:37
Nauza shamba
1 week
Shamba Eka 50 Linauzwa Kiwangwa Bagamoyo
TZS 700,000
Shamba Eka 50 Linauzwa Kiwangwa Bagamoyo
Pwani
SHAMBA LINAPATIKANA KIWANGWA - BAGAMOYO Linauzwa shamba lenye ukubwa wa *hekari 50*. *Bei*: Laki 7 (700,000) kwa hekari moja *Mahali*: Kiwangwa, Bagamoyo – Mkoa wa Pwani *Umbali*: Kilomita 3 tu kutoka barabara kuu ya lami *Eneo linafaa kwa:* - Kilimo cha mazao mbalimbali - Ufugaji wa kisasa na wa kienyeji - Ujenzi wa makazi au miradi ya uwekezaji - Mazingira...
TZS 700,000
Nauza shamba
1 week
Shamba la Eka 20 Pwani Bagamoyo
TZS 800,000
Shamba la Eka 20 Pwani Bagamoyo
Pwani
Shamba linauzwa lenye ukubwa wa heka 20 lipo umbali wa kilometa 3 kutoka barabara kuu ya lami shamba lipo kiwangwa bagamoyo bei ni laki 8 kwa heka shamba ni zuri sana na lipo sehem nzuri kwa mawasiliano zaidi piga namba 0653870009.
TZS 800,000
Nauza shamba
1 week
VAB
1 month
Rajabu Juma
1 month
MR CHILO
2 months
Kiwanja cha Heka 100 Kinauzwa Chalinze, Bagamoyo
TZS 500,000
Kiwanja cha Heka 100 Kinauzwa Chalinze, Bagamoyo
Pwani
Shamba linauzwa lipo kijiji cha bago kata ya kiwangwa halimashauli ya chalinze wilaya ya bagamoyo linaukubwa wa heka 100 linafa kulima mazao ya aina yoyote au kufuga kisasa umbali kutoka lami kilometa 9 barabara safi mpaka shamba mawasiliano no 0714121506 whatsapp ipo bei sh laki tano kwa heka moja kalibuni sana kiwangwa yenye neema kuona bule asanteni sana
TZS 500,000
MR CHILO
2 months
Shamba Eka 50 Bagamoyo Pwani
TZS 800,000
Shamba Eka 50 Bagamoyo Pwani
Pwani
Shamba linauzwa lipo kiwangwa bagamoyo pwani linaukubwa wa heka 50 linafa kulima mazao ya aina yoyote au makazi umbali kilometa 5 kutoka lami bei sh laki nane kwa heka moja barabara shafi mpaka shambani kuona bule kalibuni sana kiwangwa bagamoyo pwani
TZS 800,000
MR CHILO
2 months
Shamba Eka 2 Kiwangwa Bagamoyo
TZS 1,500,000
Shamba Eka 2 Kiwangwa Bagamoyo
Pwani
Shamba linauzwa lipo kiwangwa bagamoyo pwani linaukubwa wa heka 2 linafa kulima mazao yoyote au kufuga kisasa hata makazi pia umbali kutoka lami kilometa 3 barabara safi mpaka shamba bei sh milioni moja na laki tano kwa heka moja mawasiliano no 0714121506 kalibuni sana kiwangwa yenye neema kuona bule asanteni sana
TZS 1,500,000
MR CHILO
3 months
Shamba Eka 2 Linauzwa Kiwangwa Bagamoyo
TZS 1,500,000
Shamba Eka 2 Linauzwa Kiwangwa Bagamoyo
Pwani
Shamba linauzwa lipo kiwangwa bagamoyo pwani linaukubwa wa heka umbali linafa kulima mazao yoyote au kufuga kisasa hata makazi pia umbali kutoka lami kilometa 3 barabara safi mpaka shamba mawasiliano no 0714121506 kalibuni sana kiwangwa yenye neema kuona bule asanteni sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
TZS 1,500,000
MR CHILO
3 months
Eneo la Heka 10 Linauzwa Kiwangwa, Bagamoyo, Pwani
TZS 3,000,000
Eneo la Heka 10 Linauzwa Kiwangwa, Bagamoyo, Pwani
Pwani
*🟢 SHAMBA LINAUZWA – KIWANGWA, BAGAMOYO 🟢* Fursa ya kumiliki ardhi yako! ✅ Ukubwa: Heka 10 ✅ Umbali: Km 4 kutoka barabara ya lami ✅ Mahali: Kiwangwa – Bagamoyo ✅ Mazingira tulivu, yanafaa kwa kilimo, ufugaji au makazi ✅ Umeme na maji karibu 💰 Bei: TSh 900,000 kwa heka (maelewano yapo) 📞 *Wasiliana na Mr. Chilo – 0714 121 506* *Miliki shamba lako leo – usipit...
TZS 3,000,000
julius haule (Julz)
4 months
julius haule (Julz)
4 months
Pro
Adam jazile
1 year
Shamba la ekari 3 linauzwa bagamoyo
TZS 7,500,000
Shamba la ekari 3 linauzwa bagamoyo
Pwani
SHAMBA LA EKARI 3 LINAUZWA MWAVI FUKAYOSI Lipo umbali wa kilometa 1 kutoka main load ya bagamoyo msata kila ekari 1 inauzwa shilingi milioni 2 na nusu shamba ni zuri sana unaweza ukapanda mazao yoyote yale kama vile nanasi, miembe ,migomba,korosho,nazi,papai,mahindi,nk
TZS 7,500,000
Pro
Adam jazile
1 year