Alphonce Joseph Mtey
Alphonce Joseph Mtey
6 active listings
Last online 1 day ago
Registered for 4+ days
Kimara, 16104, Dar es Salaam, Ubungo, Dar es Salaam, Tanzania
+255 78684xxxx
Send message All seller items (6)

Alphonce Joseph Mtey's listings

Ubungo
Modish Dog Food
Chakula bora kwa ajili ya mbwa mwenye matatizo ya kuwashwa ngozi kwa kitaalamu tunaita Food Allergic Dermatitis, pia mbwa mwenye changamoto ya viungo yaani Arthritis anapaswa atumie chakula hiki. Siwezi kutaja kila kitu hapa lakini chakula hiki ni tiba ya magonjwa mengi kwa mbwa.
TZS 10,000
2 days ago Other New Sell 9 people viewed
TZS 10,000
TZS 10,000
Ubungo
Chicken Feed Formulas
Poultry Feed Specialists ni wataalamu wa mifugo hususani kuku, tunatoa elimu na mafunzo mbalimbali yanayohusu ufugaji wa kuku. Sambamba na hilo tunauza formula za kutengeneza vyakula vya kuku vyenye ubora unaozingatia uchumi. Na cha mwisho tunatoa huduma za kidakitari kwa mifugo yako. Bei ya Formula ipo kwenye punguzo la asilimia 50% kwa sasa. Wahi mapema ka...
TZS 50,000
2 days ago Other Services New Sell 11 people viewed
TZS 50,000
TZS 50,000
Ubungo
Amazing Service Center
Tunatengeneza (repair) vifaa vyote vya umeme kama washing machines, tv, subwoofer, driers, fridges, radios, home theaters, radios, sound bars, air conditioners, micro waves, dishwashers etc. check up fee 40,000/- gharama za matengenezo zitategemeana na tatizo na gharama za spare endapo zitahitajika. huduma zetu ni bora sana. ukituletea kifaa chako ni lazima ...
Check with seller
4 days ago Repair 17 people viewed
Check with seller
Check with seller
Ubungo
Pellet Making Machine
Mashine ya kutengeneza chakula cha kuku kukifanya kiwe cha punjepunje. Inaweza ikatengeneza kilo 350 kwa saa.
TZS 3,000,000
4 days ago Other Used Sell 12 people viewed
TZS 3,000,000
TZS 3,000,000
Ubungo
Animal Feed Mixer Machine
Mashine ya kuchanganya chakula cha kuku ipo katika hali nzuri sana, Bei ni Tsh 6,000,000/- tu. Ina uwezo wa kuzalisha chakula cha kuku nusu tani kwa saa. Na utapata kila kitu na motor pia. Karibu sana mteja.
TZS 6,000,000
4 days ago Other Used Sell 11 people viewed
TZS 6,000,000
TZS 6,000,000
Ubungo
Battery Cages
Battery Cages za kuwekea kuku, na zimebaki unit tatu (3) tu. Unit moja ina vyumba 48, na kila chumba kinaweza kikaweka kuku watatu mpaka wa nne. Battery cages hizo zina system ya maji na chakula. Battery Cages hizo ni za Israel. Bei ni 850,000/- kwa unit moja yenye vyumba 48, ambavyo kila chumba kinachukua kuku watatu mpaka kuku wanne.
TZS 850,000
4 days ago Other Used Sell 19 people viewed
TZS 850,000
TZS 850,000
  • 1
Are you a professional seller? Create an account