Presha ya kupanda/Presha ya kushuka/Dalili za Presha/Tiba Asili Ya Presha.

TZS 69,999
Huduma za Urembo na Mazoezi
1 year
Tanzania
Dar es Salaam
Ilala
3000
2153 views
SKU: 2193
Published 1 year ago by Nutr Sood
TZS 69,999
3000, Ilala, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
2153 item views
Presha(Shinikizo la Damu) ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huo huzalishwa baada ya moyo kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

Aina za Presha.

Zipo aina kuu mbili za presha, yaani;
(I) PRESHA YA KUPANDA
(II) PRESHA YA KUSHUKA.

PRESHA YA KUPANDA.

Presha ya kupanda ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye vishipa vya damu (artery) kuwa mkubwa kuliko njia ya mishipa hiyo.
Presha itaitwa kuwa presha ya kupanda ikiwa iko juu zaidi ya presha ya kawaida ambayo ni 120/80mmHg au kwa lugha nyingine wataalam wanasema ikiwa juu ya 140mmHg systolic blood pressure.Presha yaweza kupanda mpaka kufikia 240/120mmHg.


Sababu Kuu Za Kupanda Kwa Presha.

(i) Utumiaji wa chumvi nyingi kwenye chakula.

(ii) Unywaji wa pombe/sigara uliokithiri.

(iii) Msongo wa mawazo na kutokufanya mazoezi

(iv) Familia zenye matatizo ya moyo pamoja na kurithi.

(v) uzito mkubwa,unene na kitambi.



Dalili Za Presha Ya Kupanda.

(I) Kushikwa na kizunguzungu.

(II) Kichefuchefu, tumbo kujaa na kutapika kusiko kwa kawaida.

(iii) Kuvimba/kujaa maji kwa miguu,uso na mikono.

(iv)Kutokuona vizuri (kuona ukungu).


Madhara Yatokanayo Na Presha Ya Kupanda.

1️⃣ Uvimbe kwenye kuta za vishipa vya damu/kuziba kwa mishipa ya damu(artery) inayopelekea shambulio la moyo (Heart attack).

2️⃣Moyo kushindwa kusukuma damu (Heart failure).

3️⃣Kiharusi(stroke).

4️⃣ Kuharibika kwa figo pamoja na kupata shida ya moyo kutanuka.

Kwa upande mwingine;


PRESHA YA KUSHUKA.

Presha ya kushuka ni ile hali msukumo wa damu unakuwa mdogo kuliko upana (unene) wa vishipa vya damu hali inayopelekea damu chache kufika kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili.

Presha ikishuka mpaka kufikia 90/60mmHg kutokea 120/80mmHg inatafsiriwa kama presha iliyoshuka.


Presha ya kushuka huchangiwa hasaa na moja ya sababu zifuatazo;

➡️Matatizo ya homoni.

➡️Maradhi ya moyo pamoja na matatizo ya vishipa vya damu.

➡️Kuwa na ugonjwa wa Kisukari.

➡️Kubeba Ujauzito.

➡️Ukosefu wa virutubisho mwilini kama vile protini,madini ya chuma,Vitamin B-12 n.k

➡️Kushikwa na hasira pamoja na msongo wa mawazo/matatizo ya hofu na wasi wasi.


Na moja ya dalili za presha ya kushuka ni kama vile;

➡️Mchoko(udhaifu), mwili kukosa nguvu na kuhisi kizunguzungu.

➡️Maumivu ya kifua pamoja na homa kali.

➡️Kupumua kwa shida na moyo kwenda mbio (mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida).

➡️Maumivu kwenye kifua, bega la kushoto pamoja na kiwiko cha mkono.

Moja ya madhara yanayotajwa yatokanayo na presha ya kushuka ni pamoja na mshtuko/kifo cha ghafla kunakotokana na viungo vya mwili kutokupata oxygen ya kutosha.


Epuka,dhibiti moja ya mambo yafuatayo ikiwa unasumbuliwa na tatizo la presha (aina zote) pamoja na athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

1.Kupata wasaa wa kufanya mazoezi ya viungo, kukimbilia au kuendesha baiskeli (wastani wa dk 45 kwa siku)

2.Epuka matumizi ya sigara, pombe na matumizi mengine ya madawa kama Heroine

3.Tumia kiasi sahihi cha chumvi, sukari au mafuta kwenye chakula chako(Sikiliza miongozo ya wataalamu).

4.Pata wasaa wa kupumzika (Zaidi ya saa 8 kwa siku)

5.Punguza unene au uzito uriokithiri.

Muhimu zaidi;

_Ipo mimea tiba yenye uwezo wa ajabu katika kutibu matatizo ya presha na kuondoa athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

_Dawa hii utaitumia kwa muda wa siku 6 hadi 10 tu,zitatosha kuondoa na kumaliza kabisa tatizo lako la presha.Presha kwa siku 6 hadi 10, tafsiri yake dawa inafanya kazi kwa haraka sanaaa na inatoa matokeo kwa haraka.

Nakukaribisha tena kupata suluhisho la tatizo lako.

Kwa ushauri,maoni pamoja na msaada wa kimatibabu, wasiliana nami kwa namba;

Call/sms/whatsaap

0678640098.
Ilala,Dsm&Morogoro mjini. Read more

Description

Presha(Shinikizo la Damu) ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huo huzalishwa baada ya moyo kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

Aina za Presha.

Zipo aina kuu mbili za presha, yaani;
(I) PRESHA YA KUPANDA
(II) PRESHA YA KUSHUKA.

PRESHA YA KUPANDA.

Presha ya kupanda ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye vishipa vya damu (artery) kuwa mkubwa kuliko njia ya mishipa hiyo.
Presha itaitwa kuwa presha ya kupanda ikiwa iko juu zaidi ya presha ya kawaida ambayo ni 120/80mmHg au kwa lugha nyingine wataalam wanasema ikiwa juu ya 140mmHg systolic blood pressure.Presha yaweza kupanda mpaka kufikia 240/120mmHg.


Sababu Kuu Za Kupanda Kwa Presha.

(i) Utumiaji wa chumvi nyingi kwenye chakula.

(ii) Unywaji wa pombe/sigara uliokithiri.

(iii) Msongo wa mawazo na kutokufanya mazoezi

(iv) Familia zenye matatizo ya moyo pamoja na kurithi.

(v) uzito mkubwa,unene na kitambi.



Dalili Za Presha Ya Kupanda.

(I) Kushikwa na kizunguzungu.

(II) Kichefuchefu, tumbo kujaa na kutapika kusiko kwa kawaida.

(iii) Kuvimba/kujaa maji kwa miguu,uso na mikono.

(iv)Kutokuona vizuri (kuona ukungu).


Madhara Yatokanayo Na Presha Ya Kupanda.

1️⃣ Uvimbe kwenye kuta za vishipa vya damu/kuziba kwa mishipa ya damu(artery) inayopelekea shambulio la moyo (Heart attack).

2️⃣Moyo kushindwa kusukuma damu (Heart failure).

3️⃣Kiharusi(stroke).

4️⃣ Kuharibika kwa figo pamoja na kupata shida ya moyo kutanuka.

Kwa upande mwingine;


PRESHA YA KUSHUKA.

Presha ya kushuka ni ile hali msukumo wa damu unakuwa mdogo kuliko upana (unene) wa vishipa vya damu hali inayopelekea damu chache kufika kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili.

Presha ikishuka mpaka kufikia 90/60mmHg kutokea 120/80mmHg inatafsiriwa kama presha iliyoshuka.


Presha ya kushuka huchangiwa hasaa na moja ya sababu zifuatazo;

➡️Matatizo ya homoni.

➡️Maradhi ya moyo pamoja na matatizo ya vishipa vya damu.

➡️Kuwa na ugonjwa wa Kisukari.

➡️Kubeba Ujauzito.

➡️Ukosefu wa virutubisho mwilini kama vile protini,madini ya chuma,Vitamin B-12 n.k

➡️Kushikwa na hasira pamoja na msongo wa mawazo/matatizo ya hofu na wasi wasi.


Na moja ya dalili za presha ya kushuka ni kama vile;

➡️Mchoko(udhaifu), mwili kukosa nguvu na kuhisi kizunguzungu.

➡️Maumivu ya kifua pamoja na homa kali.

➡️Kupumua kwa shida na moyo kwenda mbio (mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida).

➡️Maumivu kwenye kifua, bega la kushoto pamoja na kiwiko cha mkono.

Moja ya madhara yanayotajwa yatokanayo na presha ya kushuka ni pamoja na mshtuko/kifo cha ghafla kunakotokana na viungo vya mwili kutokupata oxygen ya kutosha.


Epuka,dhibiti moja ya mambo yafuatayo ikiwa unasumbuliwa na tatizo la presha (aina zote) pamoja na athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

1.Kupata wasaa wa kufanya mazoezi ya viungo, kukimbilia au kuendesha baiskeli (wastani wa dk 45 kwa siku)

2.Epuka matumizi ya sigara, pombe na matumizi mengine ya madawa kama Heroine

3.Tumia kiasi sahihi cha chumvi, sukari au mafuta kwenye chakula chako(Sikiliza miongozo ya wataalamu).

4.Pata wasaa wa kupumzika (Zaidi ya saa 8 kwa siku)

5.Punguza unene au uzito uriokithiri.

Muhimu zaidi;

_Ipo mimea tiba yenye uwezo wa ajabu katika kutibu matatizo ya presha na kuondoa athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

_Dawa hii utaitumia kwa muda wa siku 6 hadi 10 tu,zitatosha kuondoa na kumaliza kabisa tatizo lako la presha.Presha kwa siku 6 hadi 10, tafsiri yake dawa inafanya kazi kwa haraka sanaaa na inatoa matokeo kwa haraka.

Nakukaribisha tena kupata suluhisho la tatizo lako.

Kwa ushauri,maoni pamoja na msaada wa kimatibabu, wasiliana nami kwa namba;

Call/sms/whatsaap

0678640098.
Ilala,Dsm&Morogoro mjini.

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

SWAHILI_USED_ITEMS SWAHILI_USED_ITEMS 2 years
QFL DODOMA 5*6 inch 10
TZS 235,000
QFL DODOMA 5*6 inch 10
Dar es Salaam
Lipo Ubungo
Vifaa Nyumbani na Fanicha
TZS 235,000
Ahmad Luonyo Ahmad Luonyo 2 years
DAWA YA KUKOHOA NA KIFUA
TZS 5,000
DAWA YA KUKOHOA NA KIFUA
Dar es Salaam
LUO COUGH SYRUP ni miongoni mwa dawa nzuri sana ya asili yenye mchanganyiko wa dawa kubwa za kiarabu zenye faida ya 1)kutibu kikohozi 2)kuondoa uchakacho wa sauti 3)kupambana na mahambukizi 4)kutibu muwasho wa koo 5)kutibu vidonda kooni na kuhisi baridi 6)kupambana na kikohozi kifuani 7)kuondoa msongamano kifuani 8)kutibu kifua sugu 9)kutibu allerge
Huduma za Urembo na Mazoezi
TZS 5,000
Ahmad Luonyo Ahmad Luonyo 2 years
DAWA YA NGUVU ZA KIUME
TZS 5,000
DAWA YA NGUVU ZA KIUME
Dar es Salaam
MALEGRA ni dawa ya asili ya India yenye uwezo mkubwa wa 1)kuongeza nguvu za kiume 2)kuongeza msisimko na hisia kali 3)kukupa uwezo wa kumudu tendo 4)kukupa nguvu ya kuchelewa kufika kileleni 5)kuongeza hamu ya tendo 6)hii ni kiki moja matokeo ni mara baada ya kutumia dawa HAINA MADHARA KWA MTUMIAJI
Huduma za Urembo na Mazoezi
TZS 5,000
SWAHILI_USED_ITEMS SWAHILI_USED_ITEMS 2 years
BOSS FRIDGE 118L
TZS 480,000
BOSS FRIDGE 118L
Dar es Salaam
Ipo Ubungo
Vifaa Nyumbani na Fanicha
TZS 480,000
SWAHILI_USED_ITEMS SWAHILI_USED_ITEMS 2 years
BOSS FRIDGE 118L
TZS 480,000
BOSS FRIDGE 118L
Dar es Salaam
Iko na box lake, ipo Ubungo
Vifaa Nyumbani na Fanicha
TZS 480,000
Ahmad Luonyo Ahmad Luonyo 2 years
DAWA YA UTI SUGU
TZS 10,000
DAWA YA UTI SUGU
Dar es Salaam
UTOMAC SYRUP Ni dawa mijarabu ya asili ni nzuri sana kwa UTI sugu imetengenezwa kwa kutumia mchanganyiko wa dawa kubwa zenye asili ya kiarabu zenye uwezo wa 1)kusafisha mkojo mchafu 2)kuzuia kukojoa damu 3)kuondoa maumivu wakati wa haja ndogo 4)kusafisha kibofu cha mkojo
Huduma za Urembo na Mazoezi
TZS 10,000
Ahmad Luonyo Ahmad Luonyo 2 years
DAWA YA NGUVU ZA KIUME
TZS 10,000
DAWA YA NGUVU ZA KIUME
Dar es Salaam
MALE LIBIDO BOOSTER Ni dawa ya asili ya kiarabu yenye mchanganyiko wa aina tofauti za virutubisho muhimu kwa hajiri ya 1)kuongeza nguvu za kiume 2)kuboresha mbegu za kiume 4)kuzalisha mbegu kwa wingi 5)kukupa nguvu ya kumudu tendo 6)kuongeza msisimko na hisia 7)kukupa nguvu kurudia mara nyingi 8)hinaponyesha kwa walioathirika na punyeto HAIACHI MADHARA KWA M...
Huduma za Urembo na Mazoezi
TZS 10,000
SWAHILI_USED_ITEMS SWAHILI_USED_ITEMS 2 years
KENWOOD BLENDA
TZS 95,000
KENWOOD BLENDA
Dar es Salaam
Haina shida yyte, ipo Mwenge
Vifaa Nyumbani na Fanicha
TZS 95,000
SWAHILI_USED_ITEMS SWAHILI_USED_ITEMS 2 years
Boss fridge single door
TZS 265,000
Boss fridge single door
Dar es Salaam
Haina shida yyte, ipo Mabibo
Vifaa Nyumbani na Fanicha
TZS 265,000
Are you a professional seller? Create an account