Presha ya kupanda/Presha ya kushuka/Dalili za Presha/Tiba Asili Ya Presha.

TZS 69,999
Huduma za Urembo na Mazoezi
2 years
Tanzania
Dar es Salaam
Ilala
3000
2820 views
SKU: 2193
Published 2 years ago by Nutr Sood
TZS 69,999
3000, Ilala, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
2820 item views
Presha(Shinikizo la Damu) ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huo huzalishwa baada ya moyo kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

Aina za Presha.

Zipo aina kuu mbili za presha, yaani;
(I) PRESHA YA KUPANDA
(II) PRESHA YA KUSHUKA.

PRESHA YA KUPANDA.

Presha ya kupanda ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye vishipa vya damu (artery) kuwa mkubwa kuliko njia ya mishipa hiyo.
Presha itaitwa kuwa presha ya kupanda ikiwa iko juu zaidi ya presha ya kawaida ambayo ni 120/80mmHg au kwa lugha nyingine wataalam wanasema ikiwa juu ya 140mmHg systolic blood pressure.Presha yaweza kupanda mpaka kufikia 240/120mmHg.


Sababu Kuu Za Kupanda Kwa Presha.

(i) Utumiaji wa chumvi nyingi kwenye chakula.

(ii) Unywaji wa pombe/sigara uliokithiri.

(iii) Msongo wa mawazo na kutokufanya mazoezi

(iv) Familia zenye matatizo ya moyo pamoja na kurithi.

(v) uzito mkubwa,unene na kitambi.



Dalili Za Presha Ya Kupanda.

(I) Kushikwa na kizunguzungu.

(II) Kichefuchefu, tumbo kujaa na kutapika kusiko kwa kawaida.

(iii) Kuvimba/kujaa maji kwa miguu,uso na mikono.

(iv)Kutokuona vizuri (kuona ukungu).


Madhara Yatokanayo Na Presha Ya Kupanda.

1️⃣ Uvimbe kwenye kuta za vishipa vya damu/kuziba kwa mishipa ya damu(artery) inayopelekea shambulio la moyo (Heart attack).

2️⃣Moyo kushindwa kusukuma damu (Heart failure).

3️⃣Kiharusi(stroke).

4️⃣ Kuharibika kwa figo pamoja na kupata shida ya moyo kutanuka.

Kwa upande mwingine;


PRESHA YA KUSHUKA.

Presha ya kushuka ni ile hali msukumo wa damu unakuwa mdogo kuliko upana (unene) wa vishipa vya damu hali inayopelekea damu chache kufika kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili.

Presha ikishuka mpaka kufikia 90/60mmHg kutokea 120/80mmHg inatafsiriwa kama presha iliyoshuka.


Presha ya kushuka huchangiwa hasaa na moja ya sababu zifuatazo;

➡️Matatizo ya homoni.

➡️Maradhi ya moyo pamoja na matatizo ya vishipa vya damu.

➡️Kuwa na ugonjwa wa Kisukari.

➡️Kubeba Ujauzito.

➡️Ukosefu wa virutubisho mwilini kama vile protini,madini ya chuma,Vitamin B-12 n.k

➡️Kushikwa na hasira pamoja na msongo wa mawazo/matatizo ya hofu na wasi wasi.


Na moja ya dalili za presha ya kushuka ni kama vile;

➡️Mchoko(udhaifu), mwili kukosa nguvu na kuhisi kizunguzungu.

➡️Maumivu ya kifua pamoja na homa kali.

➡️Kupumua kwa shida na moyo kwenda mbio (mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida).

➡️Maumivu kwenye kifua, bega la kushoto pamoja na kiwiko cha mkono.

Moja ya madhara yanayotajwa yatokanayo na presha ya kushuka ni pamoja na mshtuko/kifo cha ghafla kunakotokana na viungo vya mwili kutokupata oxygen ya kutosha.


Epuka,dhibiti moja ya mambo yafuatayo ikiwa unasumbuliwa na tatizo la presha (aina zote) pamoja na athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

1.Kupata wasaa wa kufanya mazoezi ya viungo, kukimbilia au kuendesha baiskeli (wastani wa dk 45 kwa siku)

2.Epuka matumizi ya sigara, pombe na matumizi mengine ya madawa kama Heroine

3.Tumia kiasi sahihi cha chumvi, sukari au mafuta kwenye chakula chako(Sikiliza miongozo ya wataalamu).

4.Pata wasaa wa kupumzika (Zaidi ya saa 8 kwa siku)

5.Punguza unene au uzito uriokithiri.

Muhimu zaidi;

_Ipo mimea tiba yenye uwezo wa ajabu katika kutibu matatizo ya presha na kuondoa athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

_Dawa hii utaitumia kwa muda wa siku 6 hadi 10 tu,zitatosha kuondoa na kumaliza kabisa tatizo lako la presha.Presha kwa siku 6 hadi 10, tafsiri yake dawa inafanya kazi kwa haraka sanaaa na inatoa matokeo kwa haraka.

Nakukaribisha tena kupata suluhisho la tatizo lako.

Kwa ushauri,maoni pamoja na msaada wa kimatibabu, wasiliana nami kwa namba;

Call/sms/whatsaap

0678640098.
Ilala,Dsm&Morogoro mjini. Read more

Description

Presha(Shinikizo la Damu) ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huo huzalishwa baada ya moyo kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

Aina za Presha.

Zipo aina kuu mbili za presha, yaani;
(I) PRESHA YA KUPANDA
(II) PRESHA YA KUSHUKA.

PRESHA YA KUPANDA.

Presha ya kupanda ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye vishipa vya damu (artery) kuwa mkubwa kuliko njia ya mishipa hiyo.
Presha itaitwa kuwa presha ya kupanda ikiwa iko juu zaidi ya presha ya kawaida ambayo ni 120/80mmHg au kwa lugha nyingine wataalam wanasema ikiwa juu ya 140mmHg systolic blood pressure.Presha yaweza kupanda mpaka kufikia 240/120mmHg.


Sababu Kuu Za Kupanda Kwa Presha.

(i) Utumiaji wa chumvi nyingi kwenye chakula.

(ii) Unywaji wa pombe/sigara uliokithiri.

(iii) Msongo wa mawazo na kutokufanya mazoezi

(iv) Familia zenye matatizo ya moyo pamoja na kurithi.

(v) uzito mkubwa,unene na kitambi.



Dalili Za Presha Ya Kupanda.

(I) Kushikwa na kizunguzungu.

(II) Kichefuchefu, tumbo kujaa na kutapika kusiko kwa kawaida.

(iii) Kuvimba/kujaa maji kwa miguu,uso na mikono.

(iv)Kutokuona vizuri (kuona ukungu).


Madhara Yatokanayo Na Presha Ya Kupanda.

1️⃣ Uvimbe kwenye kuta za vishipa vya damu/kuziba kwa mishipa ya damu(artery) inayopelekea shambulio la moyo (Heart attack).

2️⃣Moyo kushindwa kusukuma damu (Heart failure).

3️⃣Kiharusi(stroke).

4️⃣ Kuharibika kwa figo pamoja na kupata shida ya moyo kutanuka.

Kwa upande mwingine;


PRESHA YA KUSHUKA.

Presha ya kushuka ni ile hali msukumo wa damu unakuwa mdogo kuliko upana (unene) wa vishipa vya damu hali inayopelekea damu chache kufika kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili.

Presha ikishuka mpaka kufikia 90/60mmHg kutokea 120/80mmHg inatafsiriwa kama presha iliyoshuka.


Presha ya kushuka huchangiwa hasaa na moja ya sababu zifuatazo;

➡️Matatizo ya homoni.

➡️Maradhi ya moyo pamoja na matatizo ya vishipa vya damu.

➡️Kuwa na ugonjwa wa Kisukari.

➡️Kubeba Ujauzito.

➡️Ukosefu wa virutubisho mwilini kama vile protini,madini ya chuma,Vitamin B-12 n.k

➡️Kushikwa na hasira pamoja na msongo wa mawazo/matatizo ya hofu na wasi wasi.


Na moja ya dalili za presha ya kushuka ni kama vile;

➡️Mchoko(udhaifu), mwili kukosa nguvu na kuhisi kizunguzungu.

➡️Maumivu ya kifua pamoja na homa kali.

➡️Kupumua kwa shida na moyo kwenda mbio (mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida).

➡️Maumivu kwenye kifua, bega la kushoto pamoja na kiwiko cha mkono.

Moja ya madhara yanayotajwa yatokanayo na presha ya kushuka ni pamoja na mshtuko/kifo cha ghafla kunakotokana na viungo vya mwili kutokupata oxygen ya kutosha.


Epuka,dhibiti moja ya mambo yafuatayo ikiwa unasumbuliwa na tatizo la presha (aina zote) pamoja na athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

1.Kupata wasaa wa kufanya mazoezi ya viungo, kukimbilia au kuendesha baiskeli (wastani wa dk 45 kwa siku)

2.Epuka matumizi ya sigara, pombe na matumizi mengine ya madawa kama Heroine

3.Tumia kiasi sahihi cha chumvi, sukari au mafuta kwenye chakula chako(Sikiliza miongozo ya wataalamu).

4.Pata wasaa wa kupumzika (Zaidi ya saa 8 kwa siku)

5.Punguza unene au uzito uriokithiri.

Muhimu zaidi;

_Ipo mimea tiba yenye uwezo wa ajabu katika kutibu matatizo ya presha na kuondoa athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

_Dawa hii utaitumia kwa muda wa siku 6 hadi 10 tu,zitatosha kuondoa na kumaliza kabisa tatizo lako la presha.Presha kwa siku 6 hadi 10, tafsiri yake dawa inafanya kazi kwa haraka sanaaa na inatoa matokeo kwa haraka.

Nakukaribisha tena kupata suluhisho la tatizo lako.

Kwa ushauri,maoni pamoja na msaada wa kimatibabu, wasiliana nami kwa namba;

Call/sms/whatsaap

0678640098.
Ilala,Dsm&Morogoro mjini.

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 10 months
BOSS FRIDGE BS-68 SVR
TZS 495,000
BOSS FRIDGE BS-68 SVR
Dar es Salaam
BOSS FRIDGE BS-68 SVR Price: 495,000Tsh Call/Whatsaapp: 0627774377
Bidhaa Nyingine
TZS 495,000
Alz Alz 2 years
Apple Pencil for sale
TZS 400,000
Apple Pencil for sale
Dar es Salaam
Barely used apple pencil in excellent condition for sale. Box not available. Price slightly negotiable. WhatsApp number - +254727531409
Electroniki Masaki
TZS 400,000
Ilham Nyachi Ilham Nyachi Friday 21:38
Beach Plot For Sale Bamba Beach, Kigamboni
$ 961,538
Beach Plot For Sale Bamba Beach, Kigamboni
Dar es Salaam
🏝️ Beach Plot for Sale – Kigamboni, Mwongozo (Bamba Beach) 🏝️ 📍 Location: Mwongozo – Bamba Beach, Kigamboni 📏 Size: 5,519 sqm 📜 Documents: Hati miliki safi 🌊 Feature: Beach front – inafaa kwa hotel, resort, restaurant au nyumba za likizo 🏢 Zoning: Commercial area 🚗 Distance: ~6 km kutoka Kigamboni Ferry (dakika 15–20 kwa gari)
Viwanja Bamba Beach Kigamboni
$ 961,538
Gariyangu_Project Pro Gariyangu_Project 2 years
Pro Gari Ilala Dar es Salaam 2 years
Range Rover Evoque
TZS 85,000,000
Range Rover Evoque
Dar es Salaam
Range Rover Evoque Available for import make your order now for calls us
Gari
TZS 85,000,000
Data Village Technologies Pro Data Village Technologies 2 years
7 WAYS 19 1U PDU WITH SWITCH AND WITH CABLE
TZS 70,000
7 WAYS 19 1U PDU WITH SWITCH AND WITH CABLE
Arusha
* Rated working voltage: 220-250V 50-60Hz. * Maximum current: 13A. * Max output power: 3250W.
Bidhaa Nyingine
TZS 70,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 2 years
Aluminium Cable 1000meter
TZS 395,000
Aluminium Cable 1000meter
Dar es Salaam
Aluminium Cable 1000meter Price : 395,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Bidhaa Nyingine
TZS 395,000
Jucy Maine Jucy Maine 2 months
Noah Mayai
TZS 7,500,000
Noah Mayai
Dar es Salaam
WALE WA SCHOOL BUS???? Noah mayai Full a/c, nzima inatembea Marekebisho madogo tu. Bei:7.5ml maongezi site Na sio mitandaon wala kwenye simu ????KINYEREZI DSM 0610 092459 NOW MTEJA MLIPAJI TU AJE.
Used Gari Malamba Mawili
TZS 7,500,000
Edward Isaya Edward Isaya 8 months
Bidhaa Mwanza Mwanza 8 months
2003 Toyota Cami
TZS 6,900,000
2003 Toyota Cami
Mwanza
Cami Smartness Bei;6,900,000/=milioni Namba 0743448205 Mr Eddo????????
Bidhaa 33312
TZS 6,900,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 1 year
Geepas Electric Oven , Rotisserie & Convection 42L
TZS 580,000
Geepas Electric Oven , Rotisserie & Convection 42L
Dar es Salaam
Geepas Electric Oven , Rotisserie & Convection 42L Price : 580,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Bidhaa Nyingine
TZS 580,000
Mtc store Mtc store 2 years
Dove shower gel
TZS 35,000
Dove shower gel
Dar es Salaam
Dove shower gel original kabisa zipo dukan Shower gel hi inanukia vzr sana • Inaexfoliate ngozi yako vzr • Inaondoa taka zote mwilini na kukuacha ukiwa smooth • Inakupa glowing skin a moisturizer muda wote Na ina povu jingi sanaa Bei 35000
Afya na Urembo
TZS 35,000
Excela Joshua Excela Joshua 1 year
AUDI A4 INAUZWA NA BANK
TZS 5,000,000
AUDI A4 INAUZWA NA BANK
Dar es Salaam
AUDI A4 INAUZWA NA BANK Year: 2005 Transmission - Auto Fuel: Petrol Engine :ALT1 Cc: 1980 Millage : Reg: DG Seating capacity :5 Price : Million 5 Loc : Dar More info and photos Whatsap +255715090904/+255685413239 Follow ????me on instagram @Excela_and_properties @excela_magaritz
Gari Dar Es Salaam
TZS 5,000,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 1 year
Gravity Maze Marble Logic Game
TZS 65,000
Gravity Maze Marble Logic Game
Dar es Salaam
Gravity Maze Marble Logic Game Price : 65,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Bidhaa Nyingine
TZS 65,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 7 months
Cudy 4G LTE AC1200 Dual Band Wi-Fi Router
TZS 320,000
Cudy 4G LTE AC1200 Dual Band Wi-Fi Router
Dar es Salaam
Cudy 4G LTE AC1200 Dual Band Wi-Fi Router Price : 320,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Bidhaa Nyingine
TZS 320,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 1 year
LG NanoCell 50NAN079
TZS 1,630,000
LG NanoCell 50NAN079
Dar es Salaam
LG NanoCell 50NAN079 Price : 1,630,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Bidhaa Nyingine
TZS 1,630,000
Juliana Juliana 1 year
Pure Leather Imported Recliner Sofa
Check with seller
Pure Leather Imported Recliner Sofa
Dar es Salaam
This sofa is used but in excellent condition. It is pure leather with no scratch or tear It is fairly used, all sofa can recline Available to view and buy in Msasani
Bidhaa Masaki
Check with seller
Are you a professional seller? Create an account