Presha ya kupanda/Presha ya kushuka/Dalili za Presha/Tiba Asili Ya Presha.

TZS 69,999
Huduma za Urembo na Mazoezi
2 years
Tanzania
Dar es Salaam
Ilala
3000
3035 views
SKU: 2193
Published 2 years ago by Nutr Sood
TZS 69,999
3000, Ilala, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
3035 item views
Presha(Shinikizo la Damu) ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huo huzalishwa baada ya moyo kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

Aina za Presha.

Zipo aina kuu mbili za presha, yaani;
(I) PRESHA YA KUPANDA
(II) PRESHA YA KUSHUKA.

PRESHA YA KUPANDA.

Presha ya kupanda ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye vishipa vya damu (artery) kuwa mkubwa kuliko njia ya mishipa hiyo.
Presha itaitwa kuwa presha ya kupanda ikiwa iko juu zaidi ya presha ya kawaida ambayo ni 120/80mmHg au kwa lugha nyingine wataalam wanasema ikiwa juu ya 140mmHg systolic blood pressure.Presha yaweza kupanda mpaka kufikia 240/120mmHg.


Sababu Kuu Za Kupanda Kwa Presha.

(i) Utumiaji wa chumvi nyingi kwenye chakula.

(ii) Unywaji wa pombe/sigara uliokithiri.

(iii) Msongo wa mawazo na kutokufanya mazoezi

(iv) Familia zenye matatizo ya moyo pamoja na kurithi.

(v) uzito mkubwa,unene na kitambi.



Dalili Za Presha Ya Kupanda.

(I) Kushikwa na kizunguzungu.

(II) Kichefuchefu, tumbo kujaa na kutapika kusiko kwa kawaida.

(iii) Kuvimba/kujaa maji kwa miguu,uso na mikono.

(iv)Kutokuona vizuri (kuona ukungu).


Madhara Yatokanayo Na Presha Ya Kupanda.

1️⃣ Uvimbe kwenye kuta za vishipa vya damu/kuziba kwa mishipa ya damu(artery) inayopelekea shambulio la moyo (Heart attack).

2️⃣Moyo kushindwa kusukuma damu (Heart failure).

3️⃣Kiharusi(stroke).

4️⃣ Kuharibika kwa figo pamoja na kupata shida ya moyo kutanuka.

Kwa upande mwingine;


PRESHA YA KUSHUKA.

Presha ya kushuka ni ile hali msukumo wa damu unakuwa mdogo kuliko upana (unene) wa vishipa vya damu hali inayopelekea damu chache kufika kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili.

Presha ikishuka mpaka kufikia 90/60mmHg kutokea 120/80mmHg inatafsiriwa kama presha iliyoshuka.


Presha ya kushuka huchangiwa hasaa na moja ya sababu zifuatazo;

➡️Matatizo ya homoni.

➡️Maradhi ya moyo pamoja na matatizo ya vishipa vya damu.

➡️Kuwa na ugonjwa wa Kisukari.

➡️Kubeba Ujauzito.

➡️Ukosefu wa virutubisho mwilini kama vile protini,madini ya chuma,Vitamin B-12 n.k

➡️Kushikwa na hasira pamoja na msongo wa mawazo/matatizo ya hofu na wasi wasi.


Na moja ya dalili za presha ya kushuka ni kama vile;

➡️Mchoko(udhaifu), mwili kukosa nguvu na kuhisi kizunguzungu.

➡️Maumivu ya kifua pamoja na homa kali.

➡️Kupumua kwa shida na moyo kwenda mbio (mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida).

➡️Maumivu kwenye kifua, bega la kushoto pamoja na kiwiko cha mkono.

Moja ya madhara yanayotajwa yatokanayo na presha ya kushuka ni pamoja na mshtuko/kifo cha ghafla kunakotokana na viungo vya mwili kutokupata oxygen ya kutosha.


Epuka,dhibiti moja ya mambo yafuatayo ikiwa unasumbuliwa na tatizo la presha (aina zote) pamoja na athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

1.Kupata wasaa wa kufanya mazoezi ya viungo, kukimbilia au kuendesha baiskeli (wastani wa dk 45 kwa siku)

2.Epuka matumizi ya sigara, pombe na matumizi mengine ya madawa kama Heroine

3.Tumia kiasi sahihi cha chumvi, sukari au mafuta kwenye chakula chako(Sikiliza miongozo ya wataalamu).

4.Pata wasaa wa kupumzika (Zaidi ya saa 8 kwa siku)

5.Punguza unene au uzito uriokithiri.

Muhimu zaidi;

_Ipo mimea tiba yenye uwezo wa ajabu katika kutibu matatizo ya presha na kuondoa athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

_Dawa hii utaitumia kwa muda wa siku 6 hadi 10 tu,zitatosha kuondoa na kumaliza kabisa tatizo lako la presha.Presha kwa siku 6 hadi 10, tafsiri yake dawa inafanya kazi kwa haraka sanaaa na inatoa matokeo kwa haraka.

Nakukaribisha tena kupata suluhisho la tatizo lako.

Kwa ushauri,maoni pamoja na msaada wa kimatibabu, wasiliana nami kwa namba;

Call/sms/whatsaap

0678640098.
Ilala,Dsm&Morogoro mjini. Read more

Description

Presha(Shinikizo la Damu) ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huo huzalishwa baada ya moyo kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

Aina za Presha.

Zipo aina kuu mbili za presha, yaani;
(I) PRESHA YA KUPANDA
(II) PRESHA YA KUSHUKA.

PRESHA YA KUPANDA.

Presha ya kupanda ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye vishipa vya damu (artery) kuwa mkubwa kuliko njia ya mishipa hiyo.
Presha itaitwa kuwa presha ya kupanda ikiwa iko juu zaidi ya presha ya kawaida ambayo ni 120/80mmHg au kwa lugha nyingine wataalam wanasema ikiwa juu ya 140mmHg systolic blood pressure.Presha yaweza kupanda mpaka kufikia 240/120mmHg.


Sababu Kuu Za Kupanda Kwa Presha.

(i) Utumiaji wa chumvi nyingi kwenye chakula.

(ii) Unywaji wa pombe/sigara uliokithiri.

(iii) Msongo wa mawazo na kutokufanya mazoezi

(iv) Familia zenye matatizo ya moyo pamoja na kurithi.

(v) uzito mkubwa,unene na kitambi.



Dalili Za Presha Ya Kupanda.

(I) Kushikwa na kizunguzungu.

(II) Kichefuchefu, tumbo kujaa na kutapika kusiko kwa kawaida.

(iii) Kuvimba/kujaa maji kwa miguu,uso na mikono.

(iv)Kutokuona vizuri (kuona ukungu).


Madhara Yatokanayo Na Presha Ya Kupanda.

1️⃣ Uvimbe kwenye kuta za vishipa vya damu/kuziba kwa mishipa ya damu(artery) inayopelekea shambulio la moyo (Heart attack).

2️⃣Moyo kushindwa kusukuma damu (Heart failure).

3️⃣Kiharusi(stroke).

4️⃣ Kuharibika kwa figo pamoja na kupata shida ya moyo kutanuka.

Kwa upande mwingine;


PRESHA YA KUSHUKA.

Presha ya kushuka ni ile hali msukumo wa damu unakuwa mdogo kuliko upana (unene) wa vishipa vya damu hali inayopelekea damu chache kufika kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili.

Presha ikishuka mpaka kufikia 90/60mmHg kutokea 120/80mmHg inatafsiriwa kama presha iliyoshuka.


Presha ya kushuka huchangiwa hasaa na moja ya sababu zifuatazo;

➡️Matatizo ya homoni.

➡️Maradhi ya moyo pamoja na matatizo ya vishipa vya damu.

➡️Kuwa na ugonjwa wa Kisukari.

➡️Kubeba Ujauzito.

➡️Ukosefu wa virutubisho mwilini kama vile protini,madini ya chuma,Vitamin B-12 n.k

➡️Kushikwa na hasira pamoja na msongo wa mawazo/matatizo ya hofu na wasi wasi.


Na moja ya dalili za presha ya kushuka ni kama vile;

➡️Mchoko(udhaifu), mwili kukosa nguvu na kuhisi kizunguzungu.

➡️Maumivu ya kifua pamoja na homa kali.

➡️Kupumua kwa shida na moyo kwenda mbio (mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida).

➡️Maumivu kwenye kifua, bega la kushoto pamoja na kiwiko cha mkono.

Moja ya madhara yanayotajwa yatokanayo na presha ya kushuka ni pamoja na mshtuko/kifo cha ghafla kunakotokana na viungo vya mwili kutokupata oxygen ya kutosha.


Epuka,dhibiti moja ya mambo yafuatayo ikiwa unasumbuliwa na tatizo la presha (aina zote) pamoja na athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

1.Kupata wasaa wa kufanya mazoezi ya viungo, kukimbilia au kuendesha baiskeli (wastani wa dk 45 kwa siku)

2.Epuka matumizi ya sigara, pombe na matumizi mengine ya madawa kama Heroine

3.Tumia kiasi sahihi cha chumvi, sukari au mafuta kwenye chakula chako(Sikiliza miongozo ya wataalamu).

4.Pata wasaa wa kupumzika (Zaidi ya saa 8 kwa siku)

5.Punguza unene au uzito uriokithiri.

Muhimu zaidi;

_Ipo mimea tiba yenye uwezo wa ajabu katika kutibu matatizo ya presha na kuondoa athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.

_Dawa hii utaitumia kwa muda wa siku 6 hadi 10 tu,zitatosha kuondoa na kumaliza kabisa tatizo lako la presha.Presha kwa siku 6 hadi 10, tafsiri yake dawa inafanya kazi kwa haraka sanaaa na inatoa matokeo kwa haraka.

Nakukaribisha tena kupata suluhisho la tatizo lako.

Kwa ushauri,maoni pamoja na msaada wa kimatibabu, wasiliana nami kwa namba;

Call/sms/whatsaap

0678640098.
Ilala,Dsm&Morogoro mjini.

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

Empire tronix Pro Empire tronix 7 months
Sony WH-1000XM5 Premium Noise Cancelling Wireless Over-Ear Headphones
TZS 850,000
Sony WH-1000XM5 Premium Noise Cancelling Wireless Over-Ear Headphones
Dar es Salaam
Sony WH-1000XM5 Premium Noise Cancelling Wireless Over-Ear Headphones – Empire Tronix Tanzania** Experience the ultimate in audio technology with the Sony WH-1000XM5 Premium Noise Cancelling Wireless Over-Ear Headphones. These headphones feature industry-leading noise cancellation, powered by the HD Noise Cancelling Processor QN1 and Integrated Processor V1,...
New Bidhaa Nyingine za Umeme Kinondoni Dar Es Salaam
TZS 850,000
Empire tronix Pro Empire tronix 7 months
Beats by Dr. Dre Beats Solo 4 Wireless On-Ear Headphones (Matte Black)
TZS 540,000
Beats by Dr. Dre Beats Solo 4 Wireless On-Ear Headphones (Matte Black)
Dar es Salaam
Beats by Dr. Dre Beats Solo 4 Wireless On-Ear Headphones (Matte Black) – Empire Tronix Tanzania Upgrade your audio experience with the Beats Solo 4 Wireless On-Ear Headphones, designed for office, home, or on-the-go listening. These sleek, matte black headphones combine style, comfort, and premium sound quality, making them perfect for music lovers and profe...
New Bidhaa Nyingine za Umeme Kinondoni Dar Es Salaam
TZS 540,000
Donny Magari Donny Magari 5 months
Other 5 months
Subaru impreza
TZS 13,500,000
Subaru impreza
FULL AC NEW TYRES CLEAN CONDITION MIL 13.5 CALL 0676 478 888
Used Exchange Allowed Other
TZS 13,500,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 6 months
Pro Other 6 months
Air conditioner
TZS 850,000
Air conditioner
Air conditioner Price: 850,000Tsh Call/WhatsApp: 0627774377
New Other
TZS 850,000
Ahmadi Luonyo Ahmadi Luonyo 2 years
Daw ya kuzuia mimba zinazoharibika
TZS 30,000
Daw ya kuzuia mimba zinazoharibika
Dar es Salaam
Zain mama lock Ni dawa yenye mchanganyiko wa dawa nyingi asilia zenye uwezo qa KUTIBU tatizo la kuharibikaharibika kwa mimba Kuaribika kwa kijusi au kiini tete pengine hutokana na mfadhaiko wa kiajali au sababu za kimaumbile. Mimba nyingi huaribika kutokana na kutonakiliwa vizuri na kromosom.pia huweza kuharbika kutokana na mazingira Kati ya 10% na 50% ya mi...
Huduma za Urembo na Mazoezi
TZS 30,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 6 months
Pro Other 6 months
TOPLINK Mobile Cell Signal Booster Pro
TZS 580,000
TOPLINK Mobile Cell Signal Booster Pro
TOPLINK Mobile Cell Signal Booster Pro Price : 580,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
New Other
TZS 580,000
malik Al'hazeen malik Al'hazeen 7 months
Air house compressor
Sold
Other 7 months
Air house compressor
TZS 3,500,000
Air house compressor
Air compressor 500l 7.5 HP 5.5 kw
New Other Sold
TZS 3,500,000
Excela Joshua Excela Joshua 1 year
NYUMBA INAUZWA GOBA KULANGWA
TZS 89,000,000
NYUMBA INAUZWA GOBA KULANGWA
Dar es Salaam
NYUMBA INAUZWA GOBA KULANGWA, IKO KILOMITA 1.5 TOKA BARABARA KUU LOC : GOBA KULANGWA AREA :SQM 850 PRICE : MIL 89 UMILIKI HATI CONT. CALL Whatsapp &sms +255715090904 kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>> https://wa.me/255715090904 Insta @excela_and_properties SIFA:- -3MASTER BEDROOMS -KITCHEN -STORE -DINNING -SITTING ROOM -PUBLIC TOILET HUDUMA ZOT...
Nyumba Zinauzwa Goba Kulangwa
TZS 89,000,000
Lukman manjy Pro Lukman manjy 6 months
Pro Other 6 months
KIDS POT
TZS 75,000
KIDS POT
pot for kids available orignal all colours available
New Other
TZS 75,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 2 years
Fidek Fpx Pro outdoor Speaker
TZS 980,000
Fidek Fpx Pro outdoor Speaker
Dar es Salaam
Fidek Fpx Pro outdoor Speaker Price : 980,000Tshs Call / whatsapp : 0627774377
Bidhaa Nyingine
TZS 980,000
Ramani Kali Visual Lab Pro Ramani Kali Visual Lab 2 years
NYUMBA INAUZWA
TZS 40,000,000
NYUMBA INAUZWA
Arusha
~Nyumba ipo East africa, jirani na kituo cha daladala Intel ~ukubwa wa eneo ni 14x20 ~nyumba ina vyumba 3, kimoja ni masterbedroom,sebule kubwa, dining, jiko, stoo na choo cha ndani (public toilet) ~Umeme upo na miundombinu ya maji ipo ~BEI 40,000,000 maongezi yapo. call & whatsapp +25567828201
Nyumba Zinauzwa East Africa Road, Near Intel Bus Stand
TZS 40,000,000
Empire tronix Pro Empire tronix 7 months
Sony ULT WEAR Wireless Over-ear Noise-canceling Headphones
TZS 660,000
Sony ULT WEAR Wireless Over-ear Noise-canceling Headphones
Dar es Salaam
Sony ULT WEAR Wireless Over-Ear Noise-Canceling Headphones – Empire Tronix Tanzania Transform your listening experience with the Sony ULT WEAR Wireless Over-Ear Noise-Canceling Headphones, now available at Empire Tronix Tanzania. Designed for commuters, travelers, gamers, and home entertainment enthusiasts, these headphones combine cutting-edge technology wi...
New Bidhaa Nyingine za Umeme Kinondoni Dar Es Salaam
TZS 660,000
classiccar partsvn classiccar partsvn 6 months
Other 6 months
Mercedes W114 W115 Sedan S1 bumper full set
Check with seller
Mercedes W114 W115 Sedan S1 bumper full set
Mercedes Benz W114/ 115 sedan series 1 year (1968 -1976) with under parts bumpers. A set bumper of a front bumper in 4 parts, a cover. A rear bumper in 2 parts, a cover, rubber trims for front and rear bumper. Bolts and screws. The product has shape and size like the original samples. So, They perfect fit on the car. Products are made of 304 stainless steel ...
New Other
Check with seller
Lukman manjy Pro Lukman manjy 6 months
Pro Other 6 months
BABY SWING
TZS 285,000
BABY SWING
baby swing with remote control rocking chair all colours are available whole sale and retailer
New Other
TZS 285,000
Hassan Muhiddin Hassan Muhiddin 1 month
Anker MagGo Wireless Charging Station (3-in-1 Stand)
TZS 360,000
Anker MagGo Wireless Charging Station (3-in-1 Stand)
Dar es Salaam
Anker MagGo Wireless Charging Station (3-in-1 Stand) Highlights 15W Ultra-Fast Charging Immerse in a superior charging experience with 15W power, guaranteed by Qi2 certification and MagSafe compatibility for a fast, safe, and efficient charge every time. Aesthetic Multi-Device Charging Embrace aesthetically pleasing design and precise spacing with an innovat...
New Bidhaa Nyingine za Umeme
TZS 360,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 2 years
Electrical foot Massager
TZS 175,000
Electrical foot Massager
Dar es Salaam
Electrical foot Massager Price: 175,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Bidhaa Nyingine
TZS 175,000
Christopher Charles Christopher Charles 1 year
Other 1 year
Best Hotel Amenities In Tanzania
TZS 600
Best Hotel Amenities In Tanzania
Tunauza Bidhaa za hotel zenye ubora wa juu kwa bei kitonga. Tupigie tuzungumze. hautajutia kufanya biashara nasi
Other
TZS 600
Lukman manjy Pro Lukman manjy 6 months
Pro Other 6 months
BABY CAR SEATS
TZS 280,000
BABY CAR SEATS
all type of baby car seats all colours availble whole sale and retailer
New Other
TZS 280,000
Professional magari Professional magari 1 year
2005 MERCEDES BENZ C CLASS
TZS 20,000,000
2005 MERCEDES BENZ C CLASS
Dar es Salaam
☎️????0693288354/0716488792 MERCEDEZ BENZ "C CLASS" OLD MODEL " KOMPRESSOR" YEAR : 2005 CC : 1,790 MILLEAGE : 48k OG from Japan FUEL : PETROL COLOUR : BLACK. PRICE : 20M plus regstration. ✅ With ,LEATHER SEATS, STERRING OPTIONS, DRIVE AUTO & MANUAL, WINKLE MIRRORS, MUSIC SYSTEM, PARKING SENSORS, 260 TOP SPEED, CAR IN SUPERMINT CONDITION.
Gari
TZS 20,000,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 2 years
Lutian Pressure Pump 10hp
TZS 980,000
Lutian Pressure Pump 10hp
Dar es Salaam
Lutian Pressure Pump 10hp Price : 980,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Bidhaa Nyingine Kariakoo
TZS 980,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 11 months
Yesido YP59 15w Powerbank Magsafe Wireless 5000mAh battery
TZS 120,000
Yesido YP59 15w Powerbank Magsafe Wireless 5000mAh battery
Dar es Salaam
Yesido YP59 15w Powerbank Magsafe Wireless 5000mAh battery Price : 120.000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Bidhaa Nyingine
TZS 120,000
R-TRONICS Pro R-TRONICS 2 years
Hisense 65-inch Ultra HD Smart TV
TZS 1,450,000
Hisense 65-inch Ultra HD Smart TV
Dar es Salaam
Ports/slots · 3 x hdmi 2.0 · 2 x usb · 1 x composite video input · 1 x optical audio output · 1 x headphone output · 1 x common interface (ci) · 1 x satellite input · 1 x rf input · 1 x ethernet
Electroniki 14130 - Wazo, Tegeta
TZS 1,450,000
7tronic Sezary store 7tronic Sezary store 6 months
Mr UK Fridge Showcase
TZS 410,000
Mr UK Fridge Showcase
Dar es Salaam
Fridge showcase 46 Lita 92 Design: Double-door configuration with a sleek silver colour. Capacity: Total of 92 litres (67L fridge and 25L freezer). Dimensions: Width: 48 cm, Depth: 50 cm, Height: 85 cm. Lighting: Equipped with an interior LED light for clear visibility. Storage: Includes a crystal crisper drawer, crystal door balconies, and glass partitionin...
New Bidhaa Nyingine za Umeme Masasi
TZS 410,000
Professional magari Professional magari 1 year
2006 BMW X3
TZS 26,500,000
2006 BMW X3
Dar es Salaam
☎️????0693288354/0716488792 Price: 26.5M✅ + REGISTRATION 2006 BMW X3 MSPORT Engine Size cc 2490cc Steering options Leather Seat Pearl Color Steering Right Transmission Automatic Fuel Petrol Seats 5 Doors 5 Rim sports 91,400 km A/C / Airbag / Alloy Wheels / Power Steering / Power Window / CD Player / Rear Spoiler / AM/FM Radio / Jack / Spare Tire / Back Camer...
Gari
TZS 26,500,000
Are you a professional seller? Create an account