TEDIVINA

Check with seller
Huduma za Urembo na Mazoezi
1 week
New
Tanzania
Dar es Salaam
Ubungo
Dar Es Salaam
40 views
SKU: 11537
Published 1 week ago by Rashidi Martine
Check with seller
New
Dar Es Salaam, Ubungo, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
40 item views
Tatizo la kukosa choo kwa muda mrefu, (constipation) huweza kumpata mtu yeyote. Kuna watu wanaopata choo mara tatu kwa siku, wengine hupata mara chache kwa wiki. Kwa wale wanaofika siku tatu bila kupata choo huchukuliwa ni muda mrefu sana hivyo wako katika hatari.

Kuna baadhi ya mambo ambayo huchangia kukosa choo kwa muda mrefu/choo kigumu, na hivi ni baadhi ya vyanzo vinavyoweza kusababisha tatizo hilo;

*Msongo wa mawazo

*Ubovu wa lishe
Matumizi ya vyakula vilivyosindikwa sana, sukari, nafaka iliyokobolewa, pombe, huleta ugumu kwanye umeng'enywaji .

*Kutoshughulisha mwili (kutokufanya mazoez)
Utafiti unaonesha watu wanaotumia muda mwingi wakiwa wamekaa hasa ofisini wanaongoza kwa kupata matatizo ya kukosa choo kwa mda mrefu.

*Matumizi ya baadhi ya vidonge

*Matatizo ya tezi ya thyroid na matatizo mengine ya homoni:
Matatizo kama kisukari, kukoma hedhi, maumivu kabla ya hedhi.

*Upungufu wa magnesium

Madhara ya kukosa choo kwa mda mrefu

*Tumbo kuuma
*Tumbo kujaa gesi
*Bawasiri(kuota kinyama sehem ya haja kubwa
*vidonda kwenye utumbo mdogo na mpana


Fanya mambo haya yafuatayo ili kuzuia tatizo la kukosa choo kwa muda mrefu;

. Kula zaidi chakula chenye nyuzinyuzi kama maharage, mboga za majani,
matunda, nafaka nzima
. Kunywa maji mengi
. Fanya mazoezi ya mwili
. Jaribu kudhibiti msongo wa mawazo
. Usiahirishe kwenda chooni
. Jaribu kuweka ratiba maalumu ya kujisaidia, hasa baada ya kula.

Kama hautapata matokeo yoyote yale bas tutafute tukusaidie kwa haraka sana kupitia

Call:0744657095
WhatsApp: 0712043500
Tunapatikana dar es salaam kwa walioko mikoani tuwasiliane namna yakukusaidia Read more

Description

Tatizo la kukosa choo kwa muda mrefu, (constipation) huweza kumpata mtu yeyote. Kuna watu wanaopata choo mara tatu kwa siku, wengine hupata mara chache kwa wiki. Kwa wale wanaofika siku tatu bila kupata choo huchukuliwa ni muda mrefu sana hivyo wako katika hatari.

Kuna baadhi ya mambo ambayo huchangia kukosa choo kwa muda mrefu/choo kigumu, na hivi ni baadhi ya vyanzo vinavyoweza kusababisha tatizo hilo;

*Msongo wa mawazo

*Ubovu wa lishe
Matumizi ya vyakula vilivyosindikwa sana, sukari, nafaka iliyokobolewa, pombe, huleta ugumu kwanye umeng'enywaji .

*Kutoshughulisha mwili (kutokufanya mazoez)
Utafiti unaonesha watu wanaotumia muda mwingi wakiwa wamekaa hasa ofisini wanaongoza kwa kupata matatizo ya kukosa choo kwa mda mrefu.

*Matumizi ya baadhi ya vidonge

*Matatizo ya tezi ya thyroid na matatizo mengine ya homoni:
Matatizo kama kisukari, kukoma hedhi, maumivu kabla ya hedhi.

*Upungufu wa magnesium

Madhara ya kukosa choo kwa mda mrefu

*Tumbo kuuma
*Tumbo kujaa gesi
*Bawasiri(kuota kinyama sehem ya haja kubwa
*vidonda kwenye utumbo mdogo na mpana


Fanya mambo haya yafuatayo ili kuzuia tatizo la kukosa choo kwa muda mrefu;

. Kula zaidi chakula chenye nyuzinyuzi kama maharage, mboga za majani,
matunda, nafaka nzima
. Kunywa maji mengi
. Fanya mazoezi ya mwili
. Jaribu kudhibiti msongo wa mawazo
. Usiahirishe kwenda chooni
. Jaribu kuweka ratiba maalumu ya kujisaidia, hasa baada ya kula.

Kama hautapata matokeo yoyote yale bas tutafute tukusaidie kwa haraka sana kupitia

Call:0744657095
WhatsApp: 0712043500
Tunapatikana dar es salaam kwa walioko mikoani tuwasiliane namna yakukusaidia

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa
Are you a professional seller? Create an account