TEDIVINA

Check with seller
Huduma za Urembo na Mazoezi
Monday 21:38
New
Tanzania
Dar es Salaam
Ubungo
Dar Es Salaam
34 views
SKU: 11537
Published 6 days ago by Rashidi Martine
Check with seller
New
Dar Es Salaam, Ubungo, Dar es Salaam, Tanzania
Get directions →
34 item views
Tatizo la kukosa choo kwa muda mrefu, (constipation) huweza kumpata mtu yeyote. Kuna watu wanaopata choo mara tatu kwa siku, wengine hupata mara chache kwa wiki. Kwa wale wanaofika siku tatu bila kupata choo huchukuliwa ni muda mrefu sana hivyo wako katika hatari.

Kuna baadhi ya mambo ambayo huchangia kukosa choo kwa muda mrefu/choo kigumu, na hivi ni baadhi ya vyanzo vinavyoweza kusababisha tatizo hilo;

*Msongo wa mawazo

*Ubovu wa lishe
Matumizi ya vyakula vilivyosindikwa sana, sukari, nafaka iliyokobolewa, pombe, huleta ugumu kwanye umeng'enywaji .

*Kutoshughulisha mwili (kutokufanya mazoez)
Utafiti unaonesha watu wanaotumia muda mwingi wakiwa wamekaa hasa ofisini wanaongoza kwa kupata matatizo ya kukosa choo kwa mda mrefu.

*Matumizi ya baadhi ya vidonge

*Matatizo ya tezi ya thyroid na matatizo mengine ya homoni:
Matatizo kama kisukari, kukoma hedhi, maumivu kabla ya hedhi.

*Upungufu wa magnesium

Madhara ya kukosa choo kwa mda mrefu

*Tumbo kuuma
*Tumbo kujaa gesi
*Bawasiri(kuota kinyama sehem ya haja kubwa
*vidonda kwenye utumbo mdogo na mpana


Fanya mambo haya yafuatayo ili kuzuia tatizo la kukosa choo kwa muda mrefu;

. Kula zaidi chakula chenye nyuzinyuzi kama maharage, mboga za majani,
matunda, nafaka nzima
. Kunywa maji mengi
. Fanya mazoezi ya mwili
. Jaribu kudhibiti msongo wa mawazo
. Usiahirishe kwenda chooni
. Jaribu kuweka ratiba maalumu ya kujisaidia, hasa baada ya kula.

Kama hautapata matokeo yoyote yale bas tutafute tukusaidie kwa haraka sana kupitia

Call:0744657095
WhatsApp: 0712043500
Tunapatikana dar es salaam kwa walioko mikoani tuwasiliane namna yakukusaidia Read more

Description

Tatizo la kukosa choo kwa muda mrefu, (constipation) huweza kumpata mtu yeyote. Kuna watu wanaopata choo mara tatu kwa siku, wengine hupata mara chache kwa wiki. Kwa wale wanaofika siku tatu bila kupata choo huchukuliwa ni muda mrefu sana hivyo wako katika hatari.

Kuna baadhi ya mambo ambayo huchangia kukosa choo kwa muda mrefu/choo kigumu, na hivi ni baadhi ya vyanzo vinavyoweza kusababisha tatizo hilo;

*Msongo wa mawazo

*Ubovu wa lishe
Matumizi ya vyakula vilivyosindikwa sana, sukari, nafaka iliyokobolewa, pombe, huleta ugumu kwanye umeng'enywaji .

*Kutoshughulisha mwili (kutokufanya mazoez)
Utafiti unaonesha watu wanaotumia muda mwingi wakiwa wamekaa hasa ofisini wanaongoza kwa kupata matatizo ya kukosa choo kwa mda mrefu.

*Matumizi ya baadhi ya vidonge

*Matatizo ya tezi ya thyroid na matatizo mengine ya homoni:
Matatizo kama kisukari, kukoma hedhi, maumivu kabla ya hedhi.

*Upungufu wa magnesium

Madhara ya kukosa choo kwa mda mrefu

*Tumbo kuuma
*Tumbo kujaa gesi
*Bawasiri(kuota kinyama sehem ya haja kubwa
*vidonda kwenye utumbo mdogo na mpana


Fanya mambo haya yafuatayo ili kuzuia tatizo la kukosa choo kwa muda mrefu;

. Kula zaidi chakula chenye nyuzinyuzi kama maharage, mboga za majani,
matunda, nafaka nzima
. Kunywa maji mengi
. Fanya mazoezi ya mwili
. Jaribu kudhibiti msongo wa mawazo
. Usiahirishe kwenda chooni
. Jaribu kuweka ratiba maalumu ya kujisaidia, hasa baada ya kula.

Kama hautapata matokeo yoyote yale bas tutafute tukusaidie kwa haraka sana kupitia

Call:0744657095
WhatsApp: 0712043500
Tunapatikana dar es salaam kwa walioko mikoani tuwasiliane namna yakukusaidia

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

Ushindi Adrian Ushindi Adrian 4 months
Other 4 months
BUTI ZA KIUME
TZS 110,000
BUTI ZA KIUME
{USHINDI ADRIAN 0789419909} *Zipo dukani sasa* *Karibuni sanaa????* •Price: *Tsh 110,000* •Price: *Tsh 110,000*tu Tunapatikana Kariakoo Mtaa wa Congo na Narung'ombe Call/WhatsApp: +225 (0) 789419909 Karibu sana tukuhudumie! Je, unahitaji nini? Je, unachohitaji ni nguo bora za kike na za kiume? Haujapotea, hapa utajipatia suti za kike na za kiume, za ofisini,...
Other
TZS 110,000
rajabu shafii rajabu shafii Friday 00:17
Gari Ubungo Dar es Salaam Friday 00:17
Toyota rav 4
TZS 19,500,000
Toyota rav 4
Dar es Salaam
Toyota Rav4 L *Toyota Rav4L 5 Doors(DPM)* Toyota Rav4 Year of manufacture 1999 Engine 3S FE Engine capacity 1990cc 5Doors 2WD Automatic Gear New Tyres 5 Rimsports+Spare Full ac Price 18,900,000= Call/whatsapp +255719983849
Used Exchange Allowed Gari Sinza
TZS 19,500,000
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 2 years
Ipad Case 10.9inch for Ipad Air 2022
TZS 110,000
Ipad Case 10.9inch for Ipad Air 2022
Dar es Salaam
Ipad Case 10.9inch for Ipad Air 2022 Price : 110,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
Bidhaa Nyingine
TZS 110,000
Rahimu Rahimu 1 year
Shamba la Mtoni linauzwa
TZS 500,000
Shamba la Mtoni linauzwa
Pwani
Nauza shamba la umwagiliaji shamba hili linaukubwa wa ekali 50 kila ekali moja inauzwa 1.M shamba linaumbali wa kilometa 14 kutoka barabara kuu ya lami shamba linapatikana Kiwangwa Bagamoyo.cm no.0659628665/=
Bidhaa Nyingine Kiwangwa
TZS 500,000
omary omary Pro omary omary 1 year
Pro Other 1 year
Iphone x
TZS 350,000
Iphone x
Iphone x Storage 64gb Battery 10% No face Clean condition Contact 0763010155 Price 350,000
Other
TZS 350,000
Malik Aram Malik Aram 1 year
2012 TOYOTA VITZ - TSHS 17M ONLY - VERY LOW MILEAGE
TZS 17,000,000
2012 TOYOTA VITZ - TSHS 17M ONLY - VERY LOW MILEAGE
Dar es Salaam
2012 TOYOTA VITZ HATCHBACK, DBA-KSP130, 990CC, 51,238KMS ONLY, PUSH BUTTON START, KEYLESS ENTRY, VERY ECONOMICAL, REAR SPOILER, REAR BUMPER LIP, ANDROID RADIO SYSTEM, ORIGINAL ALLOY WHEELS, LADY DRIVEN, ALMOST NEW, NO ACCIDENT, METALLIC CRAZY COLOR, RUNS AND DRIVES GREAT. TSHS 17M ONLY FOR SERIOUS BUYERS NO TIME WATERS. PLEASE CALL 0785 234 234
Gari Kigambaoni, Dar Es Salaam
TZS 17,000,000
Thomson Mandara Pro Thomson Mandara 4 months
MASSEY FERGUSON 188 2WD
TZS 35,000,000
MASSEY FERGUSON 188 2WD
Dar es Salaam
READY FOR IMPORTATION Massey Ferguson 188 Massey Ferguson 188, In very good condition. Fully checked over and repainted with square axle. Shipping can be arranged.
Magari Kanisani Road
TZS 35,000,000
Ahmad Luonyo Ahmad Luonyo 2 years
DAWA YA KUONGEZA KINGA YA MWILI(CD4)
TZS 20,000
DAWA YA KUONGEZA KINGA YA MWILI(CD4)
Dar es Salaam
CD4 FORMULA ni dawa ya kupunguza makali ya VVU huongeza kinga ya mwili na kumpa mgonjwa nafuu na kumpa nguvu ya kufanya shughuli zake kama kawaida Ikiwa kinga ya mwili itapungua sana hupelekea kushambuliwa mara kwa mara na maradhi nyemelezi hivi hunashauriwa kuanza kutumia lishe ya CD4 kwa haraka sana
Huduma za Urembo na Mazoezi
TZS 20,000
Edward Isaya Edward Isaya 1 year
Noah Voxy
TZS 7,500,000
Noah Voxy
Mwanza
Toyota Voxy???? Car radio Neat Affordable Rimsport Bei;7,500,000/=milioni Tzs???? Call & Whatsap Namba #0743448205 #Mr Eddo #usedcars #fyp #nkainatraders #mtwara #mwanza #mpambanaji #dodoma #tanzania #southafrica #lindi #daresalaam #sumbawanga #kigoma #zanzibar #world #online #business #forsale #morogoro #content Karibu Mteja????????????
Magari 1234 - 33312
TZS 7,500,000
Samson Joel Samson Joel 1 week
Pradoh. TX. 2002
TZS 12,500,000
Pradoh. TX. 2002
Dar es Salaam
4wd 6cylinder 7 seats ENGINE 5Vz
Used Exchange Allowed Gari 9070 Dsm
TZS 12,500,000
Omar Mahomes Omar Mahomes 5 months
PXN V10 GAMING RACING WHEEL
TZS 900,000
PXN V10 GAMING RACING WHEEL
Dar es Salaam
GAMING RACING WHEEL FOR PS4, PS5, XBOX SERIES X S
Bidhaa za Game Snz/sna/87
TZS 900,000
Gariyangu_Project Pro Gariyangu_Project 2 years
Pro Gari Ilala Dar es Salaam 2 years
Range Rover
TZS 40,000,000
Range Rover
Dar es Salaam
Range Rover Sports available for import make your order now
Gari
TZS 40,000,000
NAUZA KIWANJA NAUZA KIWANJA 1 year
NINAUZA KIWANJA
TZS 5,000,000
NINAUZA KIWANJA
Dar es Salaam
NINAUZA KIWANJA CHANGU, KINAUKUBWA WA METER 66 KWA 50 LIPO SIFA ZIFUATAZO; 1. LIKO KARIBU NA BARABARA YA LAMI IENDAYO CHANIKA UKITOKEA MBAGALA 2. KUNA MAJI 3. UMEME UPO 4. ENEO TAYARI LIMESHAJENGWA MSINGI WA VYUMBA VINNE NA CHOO 5. ENEO NI LAKWANGU MWENYEWE HAKUNA DALALI/UDALALI 6.NI ENEO ZURI SANA KARIBUNI KWA BIASHARA, NARUHUSU MALIPO HADI KWA AWAMU MBILI,...
Bidhaa Nyingine
TZS 5,000,000
Mohammed Daffa Mohammed Daffa 1 year
PLOT FOR SALE MBWENI MALINDI
TZS 170,000,000
PLOT FOR SALE MBWENI MALINDI
Dar es Salaam
PLOT FOR SALE \/ KIWANJA KINAUZWA KIPO MBWENI MALINDI SQMT 1128 UMILIKI HATI SAFI BEI TZS MIL 170 Call whatssap
Viwanja Dar Es Salaam
TZS 170,000,000
Rahimu Gassa Rahimu Gassa 1 year
Shamba linauzwa
Check with seller
Shamba linauzwa
Pwani
Shamba linauzwa umbali ni kirometa 2 Bago kiwangwa
Bidhaa Nyingine
Check with seller
Excela Joshua Excela Joshua 6 months
PAGALE LINAUZWA NA BANK MBONDOLE MSONGOLA
TZS 16,000,000
PAGALE LINAUZWA NA BANK MBONDOLE MSONGOLA
Dar es Salaam
PAGALE LINAUZWA NA BANK MBONDOLE, MSONGOLA WILAYA YA TEMEKE. LIKO KILOMITA 1 TOKA MBONDOLE NJIA NNE LOC : MBONDOLE NJIA NNE UKUBWA : SQMT 450 PRICE : MIL 16 UMILIKI : MKATABA WA SERIKALI YA MTAA. SIFA:- -5 MASTER BEDROOMS - SITTING ROOM - DINING ROOM - JIKO / STORE - PUBLIC TOILET CONT. CALL Whatsapp &sms +255715090904 kwenda whatsap moja kwa moja bonyez...
Nyumba Zinauzwa Mbondole Msongola Wilaya Ya Temeke
TZS 16,000,000
omary omary Pro omary omary 1 year
Pro Other 1 year
Samsung s21 ultra
Check with seller
Samsung s21 ultra
Samsung s21 ultra Storage 256gb Ram 12gb Dual sim Clean condition Black color Warranty provided Contact 0763010155 Price 980,000
Other
Check with seller
Evance Rimoy Evance Rimoy 1 year
Scania Mende
TZS 80,000,000
Scania Mende
Dar es Salaam
Scania Mende inauzwa. Gari ni nzima na liko kazini. Unaweza kuja na fundi wako kulihakiki na kukushauri.
Magari Makubwa na Mabasi
TZS 80,000,000
Francis Fares Maro Francis Fares Maro 2 months
Plot near beach Dege kigamboni
Check with seller
Plot near beach Dege kigamboni
Dar es Salaam
Well developed area, good road access, surveyed area, beautiful neighbourhood, electricity and water near site,3200 SQM plot
New Viwanja Dege
Check with seller
Mohammed Jivanjee Pro Mohammed Jivanjee 1 month
Pro Other 1 month
Apple 45W MagSafe Power Adapter
TZS 365,000
Apple 45W MagSafe Power Adapter
Apple 45W MagSafe Power Adapter Price : 365,000Tshs Call / Whatsapp : 0627774377
New Other
TZS 365,000
Are you a professional seller? Create an account