Apartment for sale

TZS 180
Nyumba Zinauzwa
10 months
Tanzania
Dodoma
Dodoma
1115
298 views
SKU: 7671
Published 10 months ago by Happy Thomas
TZS 180
In Nyumba Zinauzwa category
1115, Dodoma, Dodoma, Tanzania
Get directions →
298 item views
NYUMBA 4(4in1) ZINAUZWA MICHESE DODOMA

Zipo umbali wa kilomita 7.6 kutoka city center na mita 70 kutoka reli ya SGR.

Zipo nyumba nne, mbili zimekamilika kila kitu. Zipo kwenye kiwanja kimoja chenye ukubwa wa 2600sqm, kimepimwa na kina hati.

Nyumba ya kwanza Ina vyumba vikubwa viwili vyote master , sebule na sehemu ya jiko na dinning.

Nyumba ya pili inafanana na ya kwanza Ina vyumba vikubwa viwili vyote master, sebule na sehemu ya jiko na dinning.

Nyumba ya tatu haijakamilika, ni pagale lenye vyumba vitatu vyote master, sebule na sehemu ya dinning.

Nyumba ya nne ni servant quarter Ina chumba master na sebule, chumba master peke yake na public toilet.

Kuna eneo la laundry, kisima Cha maji kirefu sana, matenki, compound Ina paving blocks na garden ya kuvutia. Eneo lote limezungukwa na fensi. Ujenzi umezingatia standard ya juu sana.

Kuna eneo kubwa limebaki unaweza kujenga nyumba zingine na kuweka swimming pool.

Nyumba hizi zinafaa sana kibiashara. Unaweza ku-redesign kuwa lodge au hotel. Aidha unaweza kuzifanya ziwe nyumba za kupangisha au ukaziongezea thamani zikawa full furnished apartments.

Bei ni milioni 180Ml.

Tupigie 0769619980
Kwa maelezo zaidi. Read more

Specs

Property Size Sq Ft 2600
Bedrooms 3-Bedrooms
Bathroom 1-Bathroom

Description

NYUMBA 4(4in1) ZINAUZWA MICHESE DODOMA

Zipo umbali wa kilomita 7.6 kutoka city center na mita 70 kutoka reli ya SGR.

Zipo nyumba nne, mbili zimekamilika kila kitu. Zipo kwenye kiwanja kimoja chenye ukubwa wa 2600sqm, kimepimwa na kina hati.

Nyumba ya kwanza Ina vyumba vikubwa viwili vyote master , sebule na sehemu ya jiko na dinning.

Nyumba ya pili inafanana na ya kwanza Ina vyumba vikubwa viwili vyote master, sebule na sehemu ya jiko na dinning.

Nyumba ya tatu haijakamilika, ni pagale lenye vyumba vitatu vyote master, sebule na sehemu ya dinning.

Nyumba ya nne ni servant quarter Ina chumba master na sebule, chumba master peke yake na public toilet.

Kuna eneo la laundry, kisima Cha maji kirefu sana, matenki, compound Ina paving blocks na garden ya kuvutia. Eneo lote limezungukwa na fensi. Ujenzi umezingatia standard ya juu sana.

Kuna eneo kubwa limebaki unaweza kujenga nyumba zingine na kuweka swimming pool.

Nyumba hizi zinafaa sana kibiashara. Unaweza ku-redesign kuwa lodge au hotel. Aidha unaweza kuzifanya ziwe nyumba za kupangisha au ukaziongezea thamani zikawa full furnished apartments.

Bei ni milioni 180Ml.

Tupigie 0769619980
Kwa maelezo zaidi.

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

reshma soni reshma soni 10 months
Viwanja Babati Manyara 10 months
Lodge in Manayra for Sale
Check with seller
Lodge in Manayra for Sale
Manyara
Lodge Details: Running well maintained Nsya lodge and campsite for sale or long term lease Total land area 12 acres entirely fenced Titled land 5 Randaval cottages each comprising 2 rooms all ensuite accommodation, from twins, doubles, triples to family rooms 2 luxury permanent tents all ensuite and 1 individual room ensuite Tanesco power Piped water supply ...
Viwanja 18 Rowsham Dell
Check with seller
Nabeel ikbal Pro Nabeel ikbal 4 months
Samsung galaxy A50 GB 128 Ram6
TZS 295,000
Samsung galaxy A50 GB 128 Ram6
Dar es Salaam
*Hello March* ???? *Ramadhan Kareem for all Muslims*???????? (Msaka mipunga????) *SAMSUNG A50 SIMU NZURI *Ram 6 *GB 128 *mAh battery:4000 *2 LINE *Inches size 6.4 *MP 25 *All color available* *Full box*???? *Warranty:2 years IlE BEI TSHS TSH:/=295,000/= *Maongezi yapo* *Call me NBL: 0677 789 575_Tigo 0746 267 886_Whatsapp *Wa mikoani* *tuna tuma mzigo mkoa w...
New Exchange Allowed Mauzo ya Jumla Studio
TZS 295,000
Are you a professional seller? Create an account