Apartment for sale

TZS 180
Nyumba Zinauzwa
8 months
Tanzania
Dodoma
Dodoma
1115
273 views
SKU: 7671
Published 8 months ago by Happy Thomas
TZS 180
In Nyumba Zinauzwa category
1115, Dodoma, Dodoma, Tanzania
Get directions →
273 item views
NYUMBA 4(4in1) ZINAUZWA MICHESE DODOMA

Zipo umbali wa kilomita 7.6 kutoka city center na mita 70 kutoka reli ya SGR.

Zipo nyumba nne, mbili zimekamilika kila kitu. Zipo kwenye kiwanja kimoja chenye ukubwa wa 2600sqm, kimepimwa na kina hati.

Nyumba ya kwanza Ina vyumba vikubwa viwili vyote master , sebule na sehemu ya jiko na dinning.

Nyumba ya pili inafanana na ya kwanza Ina vyumba vikubwa viwili vyote master, sebule na sehemu ya jiko na dinning.

Nyumba ya tatu haijakamilika, ni pagale lenye vyumba vitatu vyote master, sebule na sehemu ya dinning.

Nyumba ya nne ni servant quarter Ina chumba master na sebule, chumba master peke yake na public toilet.

Kuna eneo la laundry, kisima Cha maji kirefu sana, matenki, compound Ina paving blocks na garden ya kuvutia. Eneo lote limezungukwa na fensi. Ujenzi umezingatia standard ya juu sana.

Kuna eneo kubwa limebaki unaweza kujenga nyumba zingine na kuweka swimming pool.

Nyumba hizi zinafaa sana kibiashara. Unaweza ku-redesign kuwa lodge au hotel. Aidha unaweza kuzifanya ziwe nyumba za kupangisha au ukaziongezea thamani zikawa full furnished apartments.

Bei ni milioni 180Ml.

Tupigie 0769619980
Kwa maelezo zaidi. Read more

Specs

Property Size Sq Ft 2600
Bedrooms 3-Bedrooms
Bathroom 1-Bathroom

Description

NYUMBA 4(4in1) ZINAUZWA MICHESE DODOMA

Zipo umbali wa kilomita 7.6 kutoka city center na mita 70 kutoka reli ya SGR.

Zipo nyumba nne, mbili zimekamilika kila kitu. Zipo kwenye kiwanja kimoja chenye ukubwa wa 2600sqm, kimepimwa na kina hati.

Nyumba ya kwanza Ina vyumba vikubwa viwili vyote master , sebule na sehemu ya jiko na dinning.

Nyumba ya pili inafanana na ya kwanza Ina vyumba vikubwa viwili vyote master, sebule na sehemu ya jiko na dinning.

Nyumba ya tatu haijakamilika, ni pagale lenye vyumba vitatu vyote master, sebule na sehemu ya dinning.

Nyumba ya nne ni servant quarter Ina chumba master na sebule, chumba master peke yake na public toilet.

Kuna eneo la laundry, kisima Cha maji kirefu sana, matenki, compound Ina paving blocks na garden ya kuvutia. Eneo lote limezungukwa na fensi. Ujenzi umezingatia standard ya juu sana.

Kuna eneo kubwa limebaki unaweza kujenga nyumba zingine na kuweka swimming pool.

Nyumba hizi zinafaa sana kibiashara. Unaweza ku-redesign kuwa lodge au hotel. Aidha unaweza kuzifanya ziwe nyumba za kupangisha au ukaziongezea thamani zikawa full furnished apartments.

Bei ni milioni 180Ml.

Tupigie 0769619980
Kwa maelezo zaidi.

Vidokezo Salama

  • Usifanye malipo yoyote mtandaoni au kutoa taarifa zako binafsi kakikisha unaiona bidhaa kabla ya kununua.
  • Kuwa mwangalifu na wauzaji wanao hitaji malipo ya awali kabla ya kukutana na kukagua kifaa.
  • Jaribu bidhaa hakikisha inafanya kazi kikamilifu kabla ya kununua, fahamu zaidi kupitia ukurasa huu.
  • Hakikisha unakutana na muuzaji katika eneo salama na la wazi pale unapotaka kununua bidhaa.
Print
Toa Taarifa

Bidhaa Ulizoangalia

MdyStore MdyStore 1 year
Battery za iphone
TZS 10,000
Battery za iphone
Dar es Salaam
Ufundi 5000 hadi 10000 0674667881 Kariakoo nyuma ya china plaza.
Simu na Vifaa Kariakoo
TZS 10,000
John Raul John Raul 8 months
Yamaha Tyros 4 (61-Key Pro Arranger Workstation)
$ 800
Yamaha Tyros 4 (61-Key Pro Arranger Workstation)
Arusha
If you are really interested kindly contact us directly by clicking on the Whatsapp link: https://wa.me/message/PC6LZ2LMUV35M1 Telegram: @Strit_Music_Company Korg Triton Extreme 76 Music Synthesizer Keyboard Workstation Yamaha Motif XS8 88-Key Keyboard Yamaha MOTIF XF7 - 76-key Workstation Synthesizer Roland Fantom-G8 88-key Sampling Synth Workstation Korg P...
Vifaa vya Muziki
$ 800
Aeco Export Company Pro Aeco Export Company 1 year
Massey Ferguson 290 4WD 78HP Brand New Tractor Export to Tanzania Available
$ 17,250
Massey Ferguson 290 4WD 78HP Brand New Tractor Export to Tanzania Available
Dar es Salaam
Are you searching for a reliable and powerful Massey Ferguson 290 4WD tractor to enhance your agricultural operations in Tanzania? Your quest is over! We're offering a high-quality tractor that's ready to serve you, and the best part is, we can arrange export to Tanzania for your convenience. Key Features: Model: Massey Ferguson 290 Drive: 4WD (Four-Wheel Dr...
Magari Mengine
$ 17,250
rommy shabby rommy shabby 2 years
Ukinunua kilo kuanzia 5 bei inapungua
TZS 16,000
Ukinunua kilo kuanzia 5 bei inapungua
Dar es Salaam
Hello habar mie ni muuzaji wa korosho safi kubwa kutoka mtwara, korosho zimebanguliwa kabisa. Karibuni sana
Bidhaa Nyingine
TZS 16,000
Ahmed Sereri Ahmed Sereri 1 year
Other 1 year
Stand mixer( Mixer ya kuchanganya unga na vitu mbalimbali)
TZS 350,000
Stand mixer( Mixer ya kuchanganya unga na vitu mbalimbali)
???? Pika kwa Urahisi na Kibaridi - Stand Mixer ya Kipekee! ???? Tunakuletea stand mixer bora kabisa Tanzania! Fanya upishi wako uwe rahisi na wa kitaalam na kifaa hiki cha kisasa. ???? Sifa za Stand Mixer Yetu: - Nguvu ya kutosha kwa kupiga mikate, keki, na mikate - Mwendo wa kasi na mchanganyiko bora wa viungo - Ubunifu wa kuvutia na rahisi kusafisha Jitay...
Other
TZS 350,000
Are you a professional seller? Create an account