Beach plot inauzwa nyanguge pembeni ya bugando beach
-ukubwa ni heka mbili (2)
-eneo ni la kwanza kutoka ziwani
-eneo limepimwa tayari
-umeme, maji na barabara vipo
-bei Milioni 70
Read more
Description
Beach plot inauzwa nyanguge pembeni ya bugando beach
-ukubwa ni heka mbili (2)
-eneo ni la kwanza kutoka ziwani
-eneo limepimwa tayari
-umeme, maji na barabara vipo
-bei Milioni 70
🚨KIWANJA KIZURI CHA MAKAZI NA BIASHARA KINAUZWA HAPA OYSTERBAY DODOMA, HII NI CORNER PLOT UNAYOWEZA KUJENGA FRAME NA APARTMENTS KWA PAMOJA ✅Matumizi ni Makazi na Biashara SQM - 1000+. Kiwanja hiki ni cha kwanza Barabara mpya ya Lami ya Oysterbay - unaweza kuwekeza makazi na fremu za Maduka au Hotel🔥 Sifa za eneo.....👇 ✴️KM 1 adi ilipo mahakama kuu mpya ✴️KM ...
Shamba linauzwa lipo kiwangwa bagamoyo pwani linaukubwa wa heka 40 linafa kulima mazao ya aina yoyote au kufuga kisasa umbali kutoka lami kilometa 4 barabara safi mpaka shamba mawasiliano no 0714 121 506 kalibuni sana kiwangwa yenye neema kuona bule
🌲vinapatikana kibaha Kwa Mathias 🌲Umbali ni km 5.5 kutoka barabarani..na barabara ya kwenda site ni lami 🌲Bei ni kuanzia milion 2 tu kwa ukubwa wa mita 15/15.. 🌴🌴Sehem ni tambarare.. maji, umeme, hospital, shule, nk vyote vipo karibu. 🌲Siku za kwenda site ni Kila siku piga simu au watsap 0612238874/ 0714499979 🌴🏠Karibuni sana
Discover a rare opportunity to own 5 acres of prime investment land located in the highly desirable Ngaramtoni–Arusha area. This property is ideal for tourism, hospitality, or commercial development, offering unmatched natural beauty and strategic accessibility
Kiwanja kikubwa square meter 2745 kipo Geza kigamboni kina hati na huduma zote muhimu kama maji umeme na miundo mbinu ya barabara ipo tayari vizuri bei ni maelewano.
Shamba linauzwa lenye ukubwa wa heka 20 lipo umbali wa kilometa 3 kutoka barabara kuu ya lami shamba lipo kiwangwa bagamoyo bei ni laki 8 kwa heka shamba ni zuri sana na lipo sehem nzuri kwa mawasiliano zaidi piga namba 0653870009.