130 Afya na Urembo For Sale in Tanzania
Hizi hapa bei mbalimbali za Afya na Urembo mpya na used kutoka kwa wafanyabiashara Tanzania. Find great deals from verified sellers on Zoom Tanzania.
There was problem loading your listings, please try to refresh this page
Refresh
Ldx Medicx
3 months
Pro
Joyce Mushi
4 months
Micro2, pure and broken, refined Yunzhi, nmn,reliv tea raishi Coffee
TZS 1,200,000
Micro2, pure and broken, refined Yunzhi, nmn,reliv tea raishi Coffee
Dar es Salaam
Hizi zote nitiba lishe nazina tibu changamoto za kiafya kwa mfano sukari, pressure moyo, figo ini nn.k nazina viambata mfano wa uyoga mwekundu ambao unauwezo wakupambana na magonjwa sugu na pia raishi ni kiambata kidogo kinacho weza kusaidi sukari yako kua sawa napi micro2 nibidhaa inayo zibua mirija ya damu damu iweze kusafir vizur mwilini.
TZS 1,200,000
Dubai Discount Stores
Friday 17:18
Pre owned Laptops
TZS 712,500
Pre owned Laptops
Dar es Salaam
Genuine original Laptops are available at affordable prices. 16GB RAM 256GB SSD 360 touch screen
TZS 712,500
DOCTOR MARY Maguha
4 months
Refined Yuhnzi, Femicare na Zaminocal plus.
TZS 350,000
Refined Yuhnzi, Femicare na Zaminocal plus.
Morogoro
Hizo zote ni dawa za asili ambazo zinamsaidia mwanamke mwenye changamoto ya uzazi, mimba kuharibika, PID pamoja na kuyeyusha uvimbe Refined yuhnzi imetengenezwa na viambata vyenye virutubisho vinavyotoka katika uyoga wa yuhnzi unaojulikana pia kama Turkey Tail( Coriolus versicolor) kirutubishi hiki ni muhimu kinasaidia sana kwneye mfumo wa uzazi wa mwanamke ...
TZS 350,000
Mtc store
1 year
Pro
Imani Joseph Ngowi
1 year
Bfsuma NMN Capsules
TZS 250,000
Bfsuma NMN Capsules
Dar es Salaam
NMN DUO RELEASE Hii ni bidhaa mpya ya BF SUMA yenye faida zituatazo. • Inadumisha, kuboresha na kumarisha DNA, ndani ya masaa 24 • Inaongeza na kuboresha nguvu katika seli, ndani ya dakika 30 • Fanisi kwa kupambana na uzee (anti-aging) • Inaipa akili afya, kuifurahisha na kuifanya iwe zalishaji • Inalinda macho • Inakulinda dhidi ya magonjwa ya moyo, mishipa...
TZS 250,000
Daudi Andrew
2 years
Joseph Msuya
3 months
Dawa asili
TZS 120,000
Dawa asili
Mbeya
Dawa nzuri kwa kutibu maumivu ya mifupa kama kiuno magoti hali ya yabisi na mengineyo Kutoka DMG WELLNESS mbeya Free delivery 120k
TZS 120,000
LAM Beauty Store
1 year
Portia Set
TZS 120,000
Portia Set
Dar es Salaam
Tunza ngozi yako Full set available ????0620892491 #tunzangoziyako #ngozinzuri #glowwithus #glowup
TZS 120,000
DOCTOR MARY Maguha
2 months
Homoni package
TZS 100,000
Homoni package
Morogoro
Dawa hii nzuri sana kwa wanawake wenye changamoto ya kukosa hisia wakati wa tendo, period yake inakuwa haieleweki haipo kwneye mzunguko unaeleweka, mayai hayapevuki nabkupelekea ushindwe kupata ujauzito.
TZS 100,000
Parisa Wang
1 year
PIOON H1 Medical Laser
TZS 99,999
PIOON H1 Medical Laser
Dodoma
Wavelength: 980nm / 810nm Power: 10 Watt / 7 Watt Emission Mode: Continuous and Gated/Pulse Modes 3 Modalities: Preset Protocols offer great safety in every dental procedure Intuitive Interface: Fast Selection of Treatment with Procedure Tutorial Guide Innovative: Compact, Ultra High-Resolution Touch Display
TZS 99,999
Alphonce Joseph Mtey
1 year
Sold
Fatuma Mussa
2 years
RESTOLFY
TZS 90,000
RESTOLFY
Dar es Salaam
UMUHIMU WA RESTORLYF MWILINI RestorLyf inasaidia mwili kuzidi kujenga tishu zake na seli zake na kuzilinda dhidi ya mashambulizi ili kuzuia mwili kuchoka na kuzeeka haraka. Manufaa yake: ????Kupambana na Sumu mwilini ????Kuimarisha mfumo wa Kinga ya mwili ????Huondoa madhara ya pombe na sigara ????Huimarisha ufanisi wa insulin mwilini hasa kwa wagonjwa wa ki...
TZS 90,000
Fatuma Mussa
1 year
Restolfy
TZS 90,000
Restolfy
Dar es Salaam
UMUHIMU WA RESTORLYF MWILINI RestorLyf inasaidia mwili kuzidi kujenga tishu zake na seli zake na kuzilinda dhidi ya mashambulizi ili kuzuia mwili kuchoka na kuzeeka haraka. Manufaa yake: ????Kupambana na Sumu mwilini ????Kuimarisha mfumo wa Kinga ya mwili ????Huondoa madhara ya pombe na sigara ????Huimarisha ufanisi wa insulin mwilini hasa kwa wagonjwa wa ki...
TZS 90,000
Pro
Imani Joseph Ngowi
1 year
BFSUMA REFINED YUNZHI ESSENCE
TZS 80,000
BFSUMA REFINED YUNZHI ESSENCE
Dar es Salaam
1.Hutibu wowote bila upasuaji ikitumika na Pure & Broken Ganoderma spores. 2.Hupandisha na kuimarisha kinga za mwili hivyo husaidia wenye kinga dahifu 3.Husaidia sana wagonjwa wa kansa au walio katika tiba ya mionzi au dawa za kansa daraja la mwanzo 4.Husaidia wanawake wenye tatizo la Hormonal imbalance 5.Husaidia kwa wenye matatizo ya uzazi P. I. D ,hur...
TZS 80,000
Fatuma Mussa
1 year
C24/7 supplement
TZS 80,000
C24/7 supplement
Dar es Salaam
Hii ni C24/7 ni bidhaa pekee inayotibu na kuzuia magonjwa zaidi ya 100 kwa wakati mmoja. . Mpaka yale magonjwa sugu kama kisukari, Pressure, Fibroids cancer, ulcers, uvimbe, Teza dume, Matatizo ya uzazi na mengine mengi kibao. . Ni kirutubisho kilichobeba zaidi ya virutubisho 22,000 kama vitamins zote A_B12, Zinc, Calcium, Proteins, Amino acids, uyoga aina 1...
TZS 80,000
Fatuma Mussa
2 years
GISENG ORIGINAL
TZS 80,000
GISENG ORIGINAL
Dar es Salaam
FAIDA ZA RED GINSENG (KOREAN RED GINSENG) ????️♂️Huimarisha nguvu za kiume. ????️♂️Husaidia kuweka sawa kiwango cha sukari. ????️♂️Huimarisha moyo. ????️♂️Inapunguza shinikizo la damu.(BP) ????️♂️Husaidia Kupunguza uzito. ????️♂️Huimarisha kinga za mwili. ????️♂️Hupunguza dalili za uzee. ????️♂️Huimarisha mifupa na misuli. ????️♂️Hupunguza mafuta mw...
TZS 80,000
Mtc store
2 years
Tumeric oil
TZS 80,000
Tumeric oil
Dar es Salaam
Oil nzuri sana kwa ajili ya kuondoa madoa, stretch mark na makovu, Inaondoa weusi katikati ya mapaja, mgongoni, tumboni na weusi shingoni Inasaidia kuondoa stretch marks Inafanya ngozi iwe soft and smooth *Inaondoa madoa na makovu mwilini Inalainisha ngozi ya mwili vizuri moo! Uneven skin Tone Inaipa ngozi mng'ao mzuri Unaweza kumix kwenye body lotion/ body ...
TZS 80,000
Pro
Imani Joseph Ngowi
1 year
Prostate Relax capsules
TZS 75,000
Prostate Relax capsules
Dar es Salaam
1.Huondoa tezi dume na kuitibu bila upasuaji - 2. Huzuia kuvimba kwa tezi dume (prostate gland) na kutibu matatizo ya haja ndogo kwa wanaume 3. Husaidia na huongeza uzalishwaji wa majimaji yanayolinda mbegu za kiume (semen) zisiharibike Dalili za tezi dume 1. Kutomaliza mkojo 2. Kupata ugumu wakati wa kukojoa 3. Kushindwa kuzuia hamu ya kukojoa 4. Wakati wa ...
TZS 75,000
Fatuma Mussa
2 years
Complete phyto energy
TZS 75,000
Complete phyto energy
Dar es Salaam
Complete Photo energizer ni product bora ya Afya inayotokana na virutubisho asilia kabisa . Product hii husaidia 1. kuondoa uvimbe wa aina yoyote 2. Matatizo yote ya Afya ya Uzazi 3. Allergy ya aina yoyote 4. Mateso ya Wakati wa Period kwa wanawake.. 5. Tezi dume kwa kinakaka 6. Matatizo ya Vidonda vya Tumbo!! Kuipata tupigie 0694947343 #completephytoenergiz...
TZS 75,000
Fatuma Mussa
2 years
C24/7 supplement
TZS 75,000
C24/7 supplement
Dar es Salaam
Hii ni C24/7 ni bidhaa pekee inayotibu na kuzuia magonjwa zaidi ya 100 kwa wakati mmoja. . Mpaka yale magonjwa sugu kama kisukari, Pressure, Fibroids cancer, ulcers, uvimbe, Teza dume, Matatizo ya uzazi na mengine mengi kibao. . Ni kirutubisho kilichobeba zaidi ya virutubisho 22,000 kama vitamins zote A_B12, Zinc, Calcium, Proteins, Amino acids, uyoga aina 1...
TZS 75,000
Faith Online Shop
2 years
Original Titan Gel Gold White tube
TZS 70,000
Original Titan Gel Gold White tube
Dar es Salaam
Treatment of male premature ejaculation, erectile difficulties, low sexual desire, and other sexual dysfunction, enhance the charm of men. * Treatment of penis, let penis longer, stronger, thicker, increased penis length and extend the time for sex. * Improve sexual desire and promote sexual harmony. * Stimulate sexual desire, gain more orgasms, and enjoy th...
TZS 70,000
Mtc store
2 years
Clonovate cream
TZS 70,000
Clonovate cream
Dar es Salaam
CLONOVATE CREAM ZIPO DUKANI ! ! * Hii ni kwa wale wanaopenda weupe • Wale wanaopenda kung'aa saana. § Inatoa Black/dark spots zilizoshindikana kwenye mwili wako. *' Inaondoa sugu, viwiko, magoti, weusi mapajani na seem zingine zenye weusi sugu. • Kama hutaki kung'aa sana tutakuelekeza jinsi ya mix na mafuta mengine ili kupata mng'ao wa wastani. • Inakufanya ...
TZS 70,000
Fatuma Mussa
2 years
CHOLEDUZ
TZS 70,000
CHOLEDUZ
Dar es Salaam
Faida za Choleduz (omega 3) ????Husaidia kuimarisha uwezo wa macho kuona ????Husaidia kuimarisha mifupa na kuongeza uteute kwenye joint . ????Husaidia kuondoa mafuta mabaya mwilini(bad cholesterol). ????Husaidia kuimarisha Afya ya ubongo na kurudisha kumbukumbu (kwa watoto na watu wazima). ????Husaidia katika Afya ya uzazi kwa wanawake,husaidia ukuaji wa mim...
TZS 70,000
Fatuma Mussa
1 year
Choleduz
TZS 70,000
Choleduz
Dar es Salaam
Faida za Choleduz (omega 3) ????Husaidia kuimarisha uwezo wa macho kuona ????Husaidia kuimarisha mifupa na kuongeza uteute kwenye joint . ????Husaidia kuondoa mafuta mabaya mwilini(bad cholesterol). ????Husaidia kuimarisha Afya ya ubongo na kurudisha kumbukumbu (kwa watoto na watu wazima). ????Husaidia katika Afya ya uzazi kwa wanawake,husaidia ukuaji wa mim...
TZS 70,000