Nunua bidhaa mpya na zilizotumika kwa bei nafuu, kama unatafuta gari, nyumba, smartphone, kompyuta, TV au bidhaa nyingine yoyote utaipata hapa Zoom Tanzania kwa bei nafuu.
SHAMBA LA KILIMO CHA MPUNGA LINAUZWA MAGU -ukubwa wa shamba ni heka kumi ( 10 ) -shamba lipo karibu na chanzo cha maji -shamba lipo umbali wa km 69 kutoka mwanza mjini -bei Milioni 20 kwa shamba lote ???? 0743220097
KIWANJA CHA KWANZA KUTOKA LAMI KINAUZWA KISESA - ISANGIJO - ukubwa wa kiwanja ni 44x32 =1,419 Sqm - kiwanja kina hati miliki ya wizara - bei Milioni 70 ???? 0743 220097
KIWANJA KINAUZWA ISAMILO INTERNATIONAL -ukubwa wa kiwanja ni Sqm 591 -kina hati miliki ya wizara -bei Milioni 150 NB:- -kiwanja kimezungukwa na barabara ya lami pande mbili ( corner plot ) Plot Namba 215, Kitalu “D” isamilo
Beach plot inauzwa nyanguge pembeni ya bugando beach -ukubwa ni heka mbili (2) -eneo ni la kwanza kutoka ziwani -eneo limepimwa tayari -umeme, maji na barabara vipo -bei Milioni 70
KIWANJA KINAUZWA NYAMHONGOLO - NANENANE -kiwanja kina fensi pande zote na geti -ukubwa wa kiwanja ni 40x30 =1,200 Sqm -kina hati miliki ya wizara -bei Milioni 96 NB:- kipo karibu na barabara ya lami ( musoma road )
ENEO LA HEKA MBILI (2) LINAUZWA NYAMHONGOLO - BUSUBA -ukubwa wa eneo ni heka mbili (2) -kuna nyumba 2 kila nyumba ina chumba kimoja self, sebule na jiko -bei Milioni 20
KIWANJA KINAUZWA PEMBENI YA ROCK CITY MALL -ukubwa wa kiwanja ni 25x20 = Sqm 500 -kiwanja kina hati miliki mkononi -location nzuri ya apartment -bei Milioni 130 Kwenye kiwanja kuna nyumba ya kizamani
SHAMBA LA HEKA TANO (5) LINAUZWA LUGEYE -shamba linafaa kwa kilimo na ufugaji -kuna nyumba ndogo ya kizamani na kisima cha maji -bei Milioni 28 ☎️ 0743220097
KIWANJA KINAUZWA MALAIKA BEACH JIRANI NA AIRPORT -ukubwa wa kiwanja ni 2,111 SQM -hati miliki ipo mkononi -bei Tsh bilioni 1.2 -panataa kwa kujenga hotel, apartment, n.k -kiwanja kina view nzuri ya ziwa victoria
Kiwanja cha kwanza lami ( airport road ) kinauzwa pasiasi -kiwanja kina nyumba yenye fremu 4 na zote zina wapangaji -kiwanja kina hati miliki ya wizara Bei Milioni 35 Plot No 900, Block “A”
KIWANJA KINAUZWA KISESA KONA YA KAYENZE -kiwanja kipo jirani na chuo cha mipango na stendi -Ukubwa wa kiwanja ni Sqm 5,741 -kina hati miliki ya wizara ???? 0743220097
VIWANJA TISA (9) VINAUZWA KISESA - IGEKEMAJA -Ukubwa wa viwanja ni 25x20, 30x20 na 30x30 -bei Inaanzia Milioni Tsh 5 na kuendelea -ruksa kununua kimoja au zaidi ☎️ 0743220097
Kiwanja kinauzwa buswelu mtaa wa bujingwa -kiwanja cha 2 kutoka barabara ya mtaa -ukubwa wa kiwanja ni sqm 327 -kina hati miliki ya wizara -bei milioni 6
Kiwanja kinauzwa buswelu - ilalila jirani na shule ya nebrix -kiwanja kina ukubwa wa sqm 405 -kiwanja kimepimwa tayari -bei Milioni 2 na laki 5 -umeme, maji na barabara vyote vipo
KIWANJA KINAUZWA NYASHISHI - MWABEBEYA -ukubwa wa kiwanja ni 20x22 -kiwanja kimepimwa tayari -umeme, maji na barabara vipo -bei Milioni 2 ???? 0743220097
BUSWELU ROUND ABOUT YA ILALILA KIWANJA CHA KWENYE LAMI KINAUZWA -ukubwa wa kiwanja 33x15 = 508 SQM -kiwanja kina hati miliki ya wizara -kiwanja kipo location nzuri Bei milioni 10 Kiwanja cha pili (2) kutoka kwenye lami
JUMLA YA VIWANJA 127. ( vimepimwa ) VINAUZWA KISESA - MATELA -viwanja vipo KM 30 kutoka mwanza mjini -viwanja vyote vimepimwa na vina bicons -bei Milioni 300 kwa viwanja vyote 127 -umeme, maji na barabara vyote vipo -viwanja vipo mita 700 kutoka barabara ya lami