rickrealestatetz

rickrealestatetz rickrealestatetz
Specializes in Nyumba za Kupanga
Rock City Mall, Mwanza, Tanzania
134 active listings
Company
Alikuwa online 3 days ago
Registered for 7 months

Bidhaa Mpya

rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 7 months
nyumba mpya zinapangishwa buswelu
TZS 350,000
nyumba mpya zinapangishwa buswelu
Mwanza
NYUMBA MPYA ZINAPANGISHWA -chumba kimoja self contained, sebule na jiko -umeme na maji unajitegemea -kodi 350,000 kwa mwezi -malipo ni miezi sita NB:- *Nyumba ya kwanza kutoka barabara ya lami ☎️ 0743220097
Nyumba za Kupanga
TZS 350,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 7 months
nyumba nzuri ya kisasa inauzwa buswelu wilayani
TZS 170,000,000
nyumba nzuri ya kisasa inauzwa buswelu wilayani
Mwanza
NYUMBA INAUZWA BUSWELU WILAYANI -ina vyumba vinne vya kulala ( viwili ni masterbed room ), sebule, jiko, stoo, dinning na public toilet -Pia kuna servant quater ya chumba kimoja self contained, sebule na jiko -ukubwa wa kiwanja ni 640 Sqm -kiwanja kimepimwa tayari -bei Milioni 170
Nyumba Zinauzwa
TZS 170,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 7 months
shule inauzwa dodoma mjini
TZS 230,000,000
shule inauzwa dodoma mjini
Dodoma
SHULE INAUZWA DODOMA MJINI -Mahali - ZUZU MTAA WA PINDA Jirani na RING ROAD Shule ina madarasa manne (4), Ofisi 4, numba na vyumba vitatu na vyoo vyenye matundu 12. Eneo - Square meter 33,260 Pamepimwa na kuna kibali cha shule/taasisi. Bei - Million 230
Nyumba Zinauzwa
TZS 230,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 7 months
Pro Viwanja Mwanza Mwanza 7 months
kiwanja kinauzwa bwiru, barabara ya tbl
TZS 450,000,000
kiwanja kinauzwa bwiru, barabara ya tbl
Mwanza
Kiwanja kinauzwa bwiru, barabara ya TBL -ukubwa wa kiwanja ni sqm 2,396 -kina hati miliki ya wizara -bei Milioni 450
Viwanja
TZS 450,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 7 months
nyumba inapangishwa ( stand alone ) buhongwa
TZS 500,000
nyumba inapangishwa ( stand alone ) buhongwa
Mwanza
Nyumba inapangishwa ( stand alone ) buhongwa -ina vyumba vinne vya kulala ( vyumba 3 ni master ), sebule, jiko, stoo na public toilet -kodi ni Tsh 500,000 kwa mwezi -malipo ni miezi sita NB:- Nyumba moja ndani ya fensi
Nyumba za Kupanga
TZS 500,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 7 months
nyumba mpya ( stand alone ) inapangishwa nyegezi
TZS 500,000
nyumba mpya ( stand alone ) inapangishwa nyegezi
Mwanza
Nyumba mpya inapangishwa nyegezi -ina vyumba vitatu (3) vya kulala ( kimojawapo ni self contained ), sebule, dinning, jiko, stoo na public toilet -kodi Tsh 500,000 kwa mwezi -malipo ni miezi sita NB:- nyumba moja ndani ya fensi
Nyumba za Kupanga
TZS 500,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 7 months
Pro Viwanja Mwanza Mwanza 7 months
Kiwanja cha ukubwa wa 25x25 kinauzwa nyashishi
TZS 4,000,000
Kiwanja cha ukubwa wa 25x25 kinauzwa nyashishi
Mwanza
KIWANJA KINAUZWA NYASHISHI -ukubwa wa kiwanja ni 25X25 -umeme, maji na barabara vipo -bei Milioni 4 ☎️ 0743220097
Viwanja
TZS 4,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 7 months
nyumba mpya zinapangishwa buswelu jirani na ofisi za halmashauri ya ilemela
TZS 420,000
nyumba mpya zinapangishwa buswelu jirani na ofisi za halmashauri ya ilemela
Mwanza
NYUMBA MPYA INAPANGISHWA BUSWELU WILAYANI -ina vyumba viwili vya kulala ( kimojawapo ni self contained ), sebule, dinning, jiko, stoo na public toilet -umeme na maji unajitegemea -kodi Tsh Milioni 5 kwa mwaka -malipo ni miezi sita NB:- Nyumba mbili (2) kwenye fensi moja ☎️ 0743220097
Nyumba za Kupanga
TZS 420,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 7 months
Pro Viwanja Mwanza Mwanza 7 months
viwanja vizuri sana vinauzwa mwanza - nyashishi center
TZS 6,500,000
viwanja vizuri sana vinauzwa mwanza - nyashishi center
Mwanza
VIWANJA VINAUZWA NYASHISHI CENTER -ukubwa wa kila kiwanja ni 30X20 -umeme, maji na barabara vipo -ruksa kununua kimoja au zaidi -viwanja vipo mtaa mzuri sana -bei Ni Milioni 6 na laki 5 kila kimoja ☎️ 0743220097
Viwanja
TZS 6,500,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 7 months
apartment mpya zinapangishwa mwanza - buswelu
TZS 300,000
apartment mpya zinapangishwa mwanza - buswelu
Mwanza
NYUMBA MPYA ZINAPANGISHWA BUSWELU -ina vyumba viwili vya kulala ( kimojawapo ni self contained ), sebule, jiko, stoo na public toilet -umeme na maji unajitegemea -kodi Tsh 300,00 kwa mwezi -malipo ni miezi 6 NB:- Nyumba zote tatu (3) zipo wazi ☎️ 0743220097
Nyumba za Kupanga
TZS 300,000
Are you a professional seller? Create an account