182 Products For Sale in Pwani
Explore products for sale in Pwani. Find great deals on electronics, furniture, vehicles & more from verified sellers on Zoom Tanzania.
There was problem loading your listings, please try to refresh this page
Refresh
Charles Nyello
1 year
Rahimu
1 year
Shamba linauzwa heka 25
TZS 1,800,000
Shamba linauzwa heka 25
Pwani
Nauza shamba Kiwangwa Bagamoyo lenye ukubwa wa heka 25 lipo umbali wa kilometa 1 tu kutoka barabara kuu ya lami kila heka moja inauzwa 1.8M milion moja na laki nane kwamawasiliano zaidi piga no.0659628665/=0625929692/=
TZS 1,800,000
Rahimu
1 year
Rahimu
1 year
Javina Milinga
1 year
Shamba ekari 150
TZS 500,000
Shamba ekari 150
Pwani
NAUZA SHAMBA EKARI 150 LIPO BAGAMOYO KIWANGWA SHAMBA NI ZURI SANA KWA KILIMO CHA MAHINDI,MIHOGO,NANASI N.K BEI NI LAKI TANO KWA EKARI MOJA(500000)
TZS 500,000
Lilian Clement
1 year
Shamba la ekari 10
TZS 30,000,000
Shamba la ekari 10
Pwani
*Shamba la Ekari 10 linauzwa Chalinze mjini*(CHANG'OMBE STREET) *Distance* Shamba liko Kilometer 1 tu kutoka Barabara ya lami ya Morogoro road -Ndani ya shamba kuna miembe na michungwa na nyumba ya wafanyakazi -Shamba linafaa kwa kilimo cha mahindi mihogo na kadhalika -Document; Hati ya mauziano ya selikali za mitaa ( Shamba limepimwa Hati miliki itatoka kwa...
TZS 30,000,000
Lilian Clement
1 year
Land for sale
TZS 500,000
Land for sale
Pwani
Shamba zuri lenye rutuba linauzwa zipo heka 200 kila heka Bei ni shilingi laki tano(500000) Kila zao linakubali hapo Umbali wa shamba ni kilometer sita kutoka barabarani
TZS 500,000
Lilian Clement
1 year
Land for sale
TZS 600,000
Land for sale
Pwani
Mashamba mazuri ardhi nzuri yenye rutuba inakubali mazao yote zipo heka 300(300acres) Kila heka ni shilingi laki sita(600000) Yapo bagamoyo kiwangwa Kutoka barabarani Hadi shamba lilipo ni kilometer sita
TZS 600,000
Rahimu
1 year
Rahimu
1 year
Rahimu
1 year
Pro
viwanja ultimate properties
1 year
Pro
viwanja ultimate properties
1 year
⚡⚡viwanja kibaha
TZS 9,000,000
⚡⚡viwanja kibaha
Pwani
????KIBAHA - KWA MFIPA???? —SURVEYED PLOTS—- ????UMBALI WA MITA 500 TU KUTOKA BARA BARA YA LAMI ????VIWANJA VIPI MBELE KIDOGO YA CHUO CHA UONGOZI KIBAHA ????GOOD Exceptional Neighborhood ????HUDUMA ZOTE ZA JAMII KAMA UMEME NA MAJI ZIMEFIKA MPAKA VILIPO VIWANJA NA TAYARI WATU WAMESHAANZA KUJENGA???? BEI NI KWA SQM 1 sqm = 15,000/= KWA MAELEZO ZAIDI FIKA KATIK...
TZS 9,000,000
Pro
viwanja ultimate properties
1 year
Viwanja kibaha kwa mfipa
Check with seller
Viwanja kibaha kwa mfipa
Pwani
????KIBAHA - KWA MFIPA???? —SURVEYED PLOTS—- ????UMBALI WA MITA 500 TU KUTOKA BARA BARA YA LAMI ????VIWANJA VIPI MBELE KIDOGO YA CHUO CHA UONGOZI KIBAHA ????GOOD Exceptional Neighborhood ????HUDUMA ZOTE ZA JAMII KAMA UMEME NA MAJI ZIMEFIKA MPAKA VILIPO VIWANJA NA TAYARI WATU WAMESHAANZA KUJENGA???? BEI NI KWA SQM 1 sqm = 15,000/= KWA MAELEZO ZAIDI FIKA KATIK...
Check with seller
Rahimu
1 year
Rahimu
1 year
Joh Makay
1 year
Kibaha: Ardhi Ekari 4.5 Iliyoendelezwa Inauzwa - Pwani
TZS 128,000,000
Kibaha: Ardhi Ekari 4.5 Iliyoendelezwa Inauzwa - Pwani
Pwani
• Direction: Kwa Mfipa, Sagale Magengeni km 8 kutoka Morogoro Road • Land Area: - Land No. 54 Sqm 9,455 - Land No. 53 Sqm 6,853 - Land (skwata) Sqm 2,000+ TOTAL AREA: Sqm 18,308 (ekari 4.5) • Document: Ofa (hati iko kwenye mchakato, itatoka muda wowote) • Price: TZS 7,000/sqm AU milioni 128 kwa maeneo yote matatu NB: Unaweza kununua eneo 1 au maeneo yote . ✓...
TZS 128,000,000
Ahmed Akrabi
1 year
Pro
Adam jazile
1 year
Shamba la ekari 3 linauzwa bagamoyo
TZS 7,500,000
Shamba la ekari 3 linauzwa bagamoyo
Pwani
SHAMBA LA EKARI 3 LINAUZWA MWAVI FUKAYOSI Lipo umbali wa kilometa 1 kutoka main load ya bagamoyo msata kila ekari 1 inauzwa shilingi milioni 2 na nusu shamba ni zuri sana unaweza ukapanda mazao yoyote yale kama vile nanasi, miembe ,migomba,korosho,nazi,papai,mahindi,nk
TZS 7,500,000
Pro
Adam jazile
1 year
Pro
Adam jazile
1 year
Shamba la ekari 4 linauzwa bagamoyo fukayosi
TZS 20,000,000
Shamba la ekari 4 linauzwa bagamoyo fukayosi
Pwani
Shamba la ekari 4 linauzwa mwavi fukayosi lipo umbali wa kilometa 2 kutoka main load ya bagamoyo msata zote kwa pamoja zinauzwa shiligi 20 Milioni shamba lipo barabarani kabisa unaweza kupanda mazao kama Nanasi ,Migomba, Papai ,Minazi ,Korosho ,Ndimu ,Maembe, Machungwa nk
TZS 20,000,000
Pro
Adam jazile
1 year
Joh Makay
1 year
Rahimu
1 year
Kipara Rajabu
1 year
Kiwangwa
TZS 850,000
Kiwangwa
Pwani
Shamba rinauzwa kiwangwa shamba rinaukubwa wa ekari 10 kira ekari moja inauzwa raki nane na nusu 850000 kutoka bara bara ya rami kuingia shambani kirometa 2 eneo zuri njia safi gari mapaka shamba
TZS 850,000