Nauza Viwanja Dodoma Mjini lyumbu Kaanani, -Nina viwanja vitatu SQM 534, SQM 586 na SQM 406 - Kila kiwanja, Nauza Million 10 Fixed isipokuwa SQM 406 Nakiuza Million 8 - Unaruhusiwa kuunganisha ukavifanya kuwa kiwanja kimoja -Documents Ni Surveyed Form
APARTMENT MPYA INAPANGISHWA KISEKE PPF -ina vyumba vitatu vya kulala ( kimoja ni self contained ), sebule, dinning, jiko na public toilet -kodi Milioni 6 kwa mwaka -malipo ni miezi sita -umeme na maji unajitegemea ☎️ 0743220097
NYUMBA MPYA ZINAPANGISHWA -chumba kimoja self contained, sebule na jiko -umeme na maji unajitegemea -kodi 350,000 kwa mwezi -malipo ni miezi sita NB:- *Nyumba ya kwanza kutoka barabara ya lami ☎️ 0743220097
APARTMENT WITH APPLIANCES FOR RENT BLOCK ONE THREE BEDROOM ((ONE MASTER BEDROOM)) SITTING DINNING KITCHEN AC HEATER SWIMMING POOL PRICE 200K PER DAY BLOCK TWO TWO BED ROOMS ((ONE MASTER BEDROOM SITTING KITCHEN PRICE 150K PER DAY
NYUMBA INAUZWA BUSWELU WILAYANI -ina vyumba vinne vya kulala ( viwili ni masterbed room ), sebule, jiko, stoo, dinning na public toilet -Pia kuna servant quater ya chumba kimoja self contained, sebule na jiko -ukubwa wa kiwanja ni 640 Sqm -kiwanja kimepimwa tayari -bei Milioni 170
SHULE INAUZWA DODOMA MJINI -Mahali - ZUZU MTAA WA PINDA Jirani na RING ROAD Shule ina madarasa manne (4), Ofisi 4, numba na vyumba vitatu na vyoo vyenye matundu 12. Eneo - Square meter 33,260 Pamepimwa na kuna kibali cha shule/taasisi. Bei - Million 230
Nyumba inapangishwa ( stand alone ) buhongwa -ina vyumba vinne vya kulala ( vyumba 3 ni master ), sebule, jiko, stoo na public toilet -kodi ni Tsh 500,000 kwa mwezi -malipo ni miezi sita NB:- Nyumba moja ndani ya fensi
Nyumba mpya inapangishwa nyegezi -ina vyumba vitatu (3) vya kulala ( kimojawapo ni self contained ), sebule, dinning, jiko, stoo na public toilet -kodi Tsh 500,000 kwa mwezi -malipo ni miezi sita NB:- nyumba moja ndani ya fensi