rickrealestatetz

rickrealestatetz rickrealestatetz
Specializes in Viwanja
Rock City Mall, Mwanza, Tanzania
42 active listings
Company
Alikuwa online 21 hours ago
Registered for 1 month

Bidhaa Mpya

rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
Pro Viwanja Dodoma Dodoma 1 month
nauza viwanja vitatu (3) dodoma mjini iyumbu
TZS 10,000,000
nauza viwanja vitatu (3) dodoma mjini iyumbu
Dodoma
Nauza Viwanja Dodoma Mjini lyumbu Kaanani, -Nina viwanja vitatu SQM 534, SQM 586 na SQM 406 - Kila kiwanja, Nauza Million 10 Fixed isipokuwa SQM 406 Nakiuza Million 8 - Unaruhusiwa kuunganisha ukavifanya kuwa kiwanja kimoja -Documents Ni Surveyed Form
Viwanja
TZS 10,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
Pro Viwanja Mwanza Mwanza 1 month
kiwanja cha ukubwa wa 70x70 kinauzwa buhongwa mtaa wa musabe
TZS 60,000,000
kiwanja cha ukubwa wa 70x70 kinauzwa buhongwa mtaa wa musabe
Mwanza
KIWANJA KINAUZWA BUHONGWA -ukubwa wa kiwanja ni 70x70 -kiwanja kimepimwa tayari -kiwanja kipo karibu na barabara ya lami ☎️ 0743220097
Viwanja
TZS 60,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
Pro Viwanja Mwanza Mwanza 1 month
kiwanja kinauzwa buhongwa mtaa musabe schools
TZS 6,000,000
kiwanja kinauzwa buhongwa mtaa musabe schools
Mwanza
KIWANJA KINAUZWA BUHONGWA -ukubwa wa kiwanja ni 23x20 -kiwanja kimepimwa na kina bicons -umeme, maji na barabara vipo -bei Milioni 6 ☎️ 0743220097
Viwanja
TZS 6,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
apartment mpya zinapangishwa kiseke ppf
TZS 500,000
apartment mpya zinapangishwa kiseke ppf
Mwanza
APARTMENT MPYA INAPANGISHWA KISEKE PPF -ina vyumba vitatu vya kulala ( kimoja ni self contained ), sebule, dinning, jiko na public toilet -kodi Milioni 6 kwa mwaka -malipo ni miezi sita -umeme na maji unajitegemea ☎️ 0743220097
Nyumba za Kupanga
TZS 500,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
nyumba mpya zinapangishwa buswelu
TZS 350,000
nyumba mpya zinapangishwa buswelu
Mwanza
NYUMBA MPYA ZINAPANGISHWA -chumba kimoja self contained, sebule na jiko -umeme na maji unajitegemea -kodi 350,000 kwa mwezi -malipo ni miezi sita NB:- *Nyumba ya kwanza kutoka barabara ya lami ☎️ 0743220097
Nyumba za Kupanga
TZS 350,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
Pro Airbnb Mwanza Mwanza 1 month
apartment with appliances for rent
TZS 200,000
apartment with appliances for rent
Mwanza
APARTMENT WITH APPLIANCES FOR RENT BLOCK ONE THREE BEDROOM ((ONE MASTER BEDROOM)) SITTING DINNING KITCHEN AC HEATER SWIMMING POOL PRICE 200K PER DAY BLOCK TWO TWO BED ROOMS ((ONE MASTER BEDROOM SITTING KITCHEN PRICE 150K PER DAY
Airbnb
TZS 200,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
nyumba nzuri ya kisasa inauzwa buswelu wilayani
TZS 170,000,000
nyumba nzuri ya kisasa inauzwa buswelu wilayani
Mwanza
NYUMBA INAUZWA BUSWELU WILAYANI -ina vyumba vinne vya kulala ( viwili ni masterbed room ), sebule, jiko, stoo, dinning na public toilet -Pia kuna servant quater ya chumba kimoja self contained, sebule na jiko -ukubwa wa kiwanja ni 640 Sqm -kiwanja kimepimwa tayari -bei Milioni 170
Nyumba Zinauzwa
TZS 170,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
shule inauzwa dodoma mjini
TZS 230,000,000
shule inauzwa dodoma mjini
Dodoma
SHULE INAUZWA DODOMA MJINI -Mahali - ZUZU MTAA WA PINDA Jirani na RING ROAD Shule ina madarasa manne (4), Ofisi 4, numba na vyumba vitatu na vyoo vyenye matundu 12. Eneo - Square meter 33,260 Pamepimwa na kuna kibali cha shule/taasisi. Bei - Million 230
Nyumba Zinauzwa
TZS 230,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
Pro Viwanja Mwanza Mwanza 1 month
kiwanja kinauzwa bwiru, barabara ya tbl
TZS 450,000,000
kiwanja kinauzwa bwiru, barabara ya tbl
Mwanza
Kiwanja kinauzwa bwiru, barabara ya TBL -ukubwa wa kiwanja ni sqm 2,396 -kina hati miliki ya wizara -bei Milioni 450
Viwanja
TZS 450,000,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
nyumba inapangishwa ( stand alone ) buhongwa
TZS 500,000
nyumba inapangishwa ( stand alone ) buhongwa
Mwanza
Nyumba inapangishwa ( stand alone ) buhongwa -ina vyumba vinne vya kulala ( vyumba 3 ni master ), sebule, jiko, stoo na public toilet -kodi ni Tsh 500,000 kwa mwezi -malipo ni miezi sita NB:- Nyumba moja ndani ya fensi
Nyumba za Kupanga
TZS 500,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
nyumba mpya ( stand alone ) inapangishwa nyegezi
TZS 500,000
nyumba mpya ( stand alone ) inapangishwa nyegezi
Mwanza
Nyumba mpya inapangishwa nyegezi -ina vyumba vitatu (3) vya kulala ( kimojawapo ni self contained ), sebule, dinning, jiko, stoo na public toilet -kodi Tsh 500,000 kwa mwezi -malipo ni miezi sita NB:- nyumba moja ndani ya fensi
Nyumba za Kupanga
TZS 500,000
rickrealestatetz Pro rickrealestatetz 1 month
Pro Viwanja Mwanza Mwanza 1 month
Kiwanja cha ukubwa wa 25x25 kinauzwa nyashishi
TZS 4,000,000
Kiwanja cha ukubwa wa 25x25 kinauzwa nyashishi
Mwanza
KIWANJA KINAUZWA NYASHISHI -ukubwa wa kiwanja ni 25X25 -umeme, maji na barabara vipo -bei Milioni 4 ☎️ 0743220097
Viwanja
TZS 4,000,000
Are you a professional seller? Create an account